Huu ndio Ukristo wa kweli

Huu ndio Ukristo wa kweli

Sasa usipotoa sadaka, Mapadre wetu na Watawa wataishi vipi? Na wakati wamejitolea maisha yao yote hapa duniani kulitumikia Kanisa la Mungu?
Marekebisho ya nyumba ya Mungu yatafanywa na nani, kama siyo sisi waumini?

Huduma mbalimbali kwenye nyumba zetu za ibada zitalipwa na nani, ka siyo sisi waumini? Mfano ununuzi wa vifaa vya kuendeshea misa, malipo ya wahudumu mbalimbali, nk!!

By the way, hiyo sadaka na zaka huwa tunatoa kwa hiyari. Na hatutoi huku tukiwa tumesimamiwa na mtutu wa bunduki.
Au unataka uniambie na nyinyi msikitini kwenu huwa hamtoi sadaka na zaka?
Kwa nini hakuna accountanility kwenye sadaka: Kujua nini kimepatikana na kimetumika vipi kama CAG wanavyofanya?

Kitendo cha kutumia sadaka kwenda kujenga hoteli binafsi ya askofu hakiingii akilini na kinanipa mimi muumini haki ya kusita au kukataa kutoa sadaka kwa huyo askofu. Badala yake nikatoa sadaka kwa njia nyingine!!!
 
Kwa nini hakuna accountanility kwenye sadaka: Kujua nini kimepatikana na kimetumika vipi kama CAG wanavyofanya?

Kitendo cha kutumia sadaka kwenda kujenga hoteli binafsi ya askofu hakiingii akilini na kinanipa mimi muumini haki ya kusita au kukataa kutoa sadaka kwa huyo askofu. Badala yake nikatoa sadaka kwa njia nyingine!!!
Hela ni za kwako, na hakuna aliyekukataza kuzifanyia vile upendavyo.
 
Hela ni za kwako, na hakuna aliyekukataza kuzifanyia vile upendavyo.
We mwenyewe ndio umeuliza "usipotoa sadaka....." Nakujibu sababu inayonikwanza unasema "...hela ni za kwako, hakuna aliyekukataza kuzifanyia vile upendavyo....."
Sasa kama hujali watu wanavyotumia hela zao, mbona unawashawishi watoe sadaka?
 
We mwenyewe ndio umeuliza "usipotoa sadaka....." Nakujibu sababu inayonikwanza unasema "...hela ni za kwako, hakuna aliyekukataza kuzifanyia vile upendavyo....."
Sasa kama hujali watu wanavyotumia hela zao, mbona unawashawishi watoe sadaka?
Aisee akili yangu imechoka kwa sasa. Hebu uniache kwanza nipumzike. Maana hata sielewi unataka nini eti.
 
Nachowashauri ni kusoma vizur vitabu vyenu na mpime kwa akili yenu
Mtajua lipi baya lipi zuri,tatizo uvivu wa kusoma mnasubiria wachungaji wasome kisha waje kuwapa summary
Mnajikuta hamjui adui yenu yupi rafiki yenu yupi
‘Watu wangu wataangamia kwa kukosa maarifa’
Huo mstari mmoja tuh unaonyesha nilichomaanisha.
Mkristo wa saiv akimkashifu muislam ndio anajiona mcha mungu [emoji3]
 
Back
Top Bottom