Hivi kule huwa hamtoi sadaka eeh?.Kanisa Katoliki ni mti wenye matunda mazuri.
Pamoja na hayo unayoita kuwa huenda kuna watu wamechakachua bado Biblia imetutabiria mambo mengi ambayo yameshatokea na yatakayotokea siku za mbeleni.MANSOON WINDS zilileta Arabs na quran kwenye mashua.
Bila missionary huyo mungu mngemjulia wapi?
Mnauhakika gani bibilia na quran zilizoletwa na hao wageni hazikua edited kabla ya kusambazwa kwa kina juma mohamed na ezekiel?
China, Japan, Thailand hawakuruhusu “introduction of new religion” ndio maana wanasonga mbele kila kukicha
Wafuasi wa nabii Ellen White wana ugomvi na wana wa Maria mama yake Yesu.Andiko Lako limelenga kuwasema wakatoliki sema umeogopa kua open..ila umeeleweka lengo lilikua kuusema ukatoliki na TEC.
Kuna hawa SAFINA REDIO Arusha ndio Matapeli kabisaTafuteni kazi halali za kufanya. Masuala ya kuwauzia wajinga maji, lesso, mafuta, chumvi, sabuni, nk kwa bei ya kulangua! Ni wizi na utapeli wa wazi kabisa.
Ningekuwa na mamlaka, ningewakamata wote huko mjini, na kuwapeleka mashambani mkalime.
Acha tu wapigwe mbuzi hao,ukiwazindua wanakuita kobazKuna hawa SAFINA REDIO Arusha ndio Matapeli kabisa
Kwanini wasikuambie ununue maji na kuombea peke yako?
Eti wanauza kalamu iliyotoka Israel au Lesso yenye upako
Ujinga na Dhambi tupu
DANIEL LEMA NA GENGE LAKO sijui mtajibu nini kwa kuwalangua na kuchukua pesa za watu masikini
Kama unataka tuzungumze kuhusu kanisa katoliki basi tulizungumzie kabla ya 321AD au Kabla ya huyo Mpagani Constantine hajaingia kanisani.Wafuasi wa nabii Ellen White wana ugomvi na wana wa Maria mama yake Yesu.
Hata hivyo bado wanakubali kuwa ukitaka biblia iliyoandikwa kwa tafsiri sahahihi basi tafuta biblia ya wakatoliki. Sasa unajiuliza kama hawa wangekuwa wapotoshaji waliwezaje kuyahifadhi kwa ushahihi maandiko ya Mungu kwa miaka zaidi ya 2000?
Sayansi haijui kila kitu.Ukubali ukatae utaona bado sayansi nayo inabase kwenye assumptions kwa sehemu fulani. Kuna mahali inaishia.
Sayansi haiwezi kukupa hekima, Hekima ipo kwa Mungu tu,
Nini kusudi la Agano Jipya?Kama zilivyoandikwa katika vitabu vya kutoka na kumbukumbu la torati 5 na Kutoka 20. Wala usiache amri yoyote kwa maana hakuna mahali popote kwenye Biblia kuanzia Mwanzo mpaka Ufunuo wa Yohana ambapo amri hizo zilibadilishwa.
Wewe unadhani unaishi hapa duaniani kwa sababu ya uwezo wako?Sayansi haijui kila kitu.
Thibitisha Mungu huyo kama yupo kweli katika uhalisia, na ukatae kwamba siyo hadithi za uongo na mawazo yako tu ya dhahania.
Agano jipya limekuja kuongezea tu baadhi ya maelezo kutoka kwenye agani la kale.Nini kusudi la Agano Jipya?
Je wale wanaokula mdudu wanakiuka au?
Uumbaji wake upiWewe unadhani unaishi hapa duaniani kwa sababu ya uwezo wako?
Uumbaji pekee unatosha kumuelezea Mungu kwamba ni wa namna gani, Hakuna namna yoyote kwamba hii dunia ilijiumba, au vivivyomo ndani yake vilijiumba,
Mwanasayansi Gregg Braden ambaye alikuwa haamini katika uwepo wa Mungu, katika kufanya utafiti wake juu ya nguvu ya maombi, alishuhudia Miracles mbili tu na baada ya hapo mawazo yake ya kupinga kwamba Mungu haexist yaliyeyuka yote.
Uumbaji wake upi
Unaweza thibitisha Mungu yupo!?
'Inama Nikusweke' nna swali kwako kiongoziHutoi sadaka,fungu la kumi na ushubwada gani sijui!?..unalipia nini!?
You cut the cake...maamae....bila upendo ni bure
Ashakum si matusi'Inama Nikusweke' nna swali kwako kiongozi
Muulize 'Inama Nikusweke' atakupa jibu inamankusweke una swali lako hukuAshakum si matusi
ATI hii nyuzi yahusu nini?
Soma historia ya uislam china na japana we msomi usiyejua mamboMANSOON WINDS zilileta Arabs na quran kwenye mashua.
Bila missionary huyo mungu mngemjulia wapi?
Mnauhakika gani bibilia na quran zilizoletwa na hao wageni hazikua edited kabla ya kusambazwa kwa kina juma mohamed na ezekiel?
China, Japan, Thailand hawakuruhusu “introduction of new religion” ndio maana wanasonga mbele kila kukicha