Uncle Elroy
JF-Expert Member
- May 22, 2016
- 1,177
- 1,090
Wewe si bado mwezi ufikisheLakini hajawahi kukanusha chochote kile kuhusu umri wake.
Halafu kwani ajabu ni nini hapo?
Si umri tu...na kila mmoja ana wa kwake.
Wangapi humu tutaufikia huo umri?
Aliwahi kuandika mwanasheria Alberto Msando, akaweka na hiyo picture, akasema, NI JAMBO JEMA WANAFUNZU KUKUTANA PAMOJA NA KUFURAHIA..... Nilicheka kufa.Like a bear among deers..........out of shape and place
[emoji2] [emoji2] [emoji2] duuh unatafuta balaa.Wewe si bado mwezi ufikishe
ujuaji ndo unamponza. kujifanya kama yeye ndio wa kwanza kwenda ughaibuni.Wabongo sijui wamefanywa nini na huyu raia,sijawahi kuona kosa lake.
Kamuombe ujaribu, labda zinaweza zikaingia mbili!Eti shati la Le baharia linaweza funika Vitz
Hamna lolote teh teh[emoji2] [emoji2] [emoji2] duuh unatafuta balaa.
yupo na wajukuu zakeLike a bear among deers..........out of shape and place
ina maana mama yake alimzaa akiwa na miaka 5. duh, hii inapaswa iwe kwenye Guiness recordshowcomes mama 1956 yeye 1961 baba 1934 duh
Aliwahi kuandika mwanasheria Alberto Msando, akaweka na hiyo picture, akasema, NI JAMBO JEMA WANAFUNZU KUKUTANA PAMOJA NA KUFURAHIA..... Nilicheka kufa.
Jamaa ni Alienhowcomes mama 1956 yeye 1961 baba 1934 duh
Haaa eti mama za sahz!!!howcomes mama 1956 yeye 1961 baba 1934 duh
Teh salamu yake itakua "mama Habari za sahizi"
55 buana[emoji12] [emoji12] [emoji12]45 YRS loading!!!
\Lakini hajawahi kukanusha chochote kile kuhusu umri wake.
Halafu kwani ajabu ni nini hapo?
Si umri tu...na kila mmoja ana wa kwake.
Wangapi humu tutaufikia huo umri?
kumbe nayeye nawapambe kama dai??komaa mwananguWabongo tunamajungu sana kwa LE AKILI KUBWAZZZ, ngoja marekani waje KUMCHUKUA ndio tutaona tulikuwa tunachezea shilingi kwenye tundu la choo
Ye hanaga habari. Yani comment moja tu hapa inamuongezea MAMILIONI huku ye ametulia zake DOWNTOWN na WABEBEZ WAKALI wanakula BATAZ UBATANI
huyapa mwingine kilaza wa UDOM eti 2016-1961=45???45 YRS loading!!!
Le mutuz anasatahili heshima, ni mtu mzima sana, ingekuwa amri yangu anafaa apigiwe mizinga 21......
Shkamoo le mutuz
Birthday loading..... 25 June 😀
View attachment 352956
Meli zinavuruga (muda)saa ya utuAfu mwenyewe ndo yupo busy na uvulana!!! au kwenye ujana hakuyafanya?