Huu ndio urembo wa mwanamke wa kiafrika halisi

Huu ndio urembo wa mwanamke wa kiafrika halisi

MUYOOL

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2012
Posts
561
Reaction score
445
Habari kwenu,

Mwanamke mrembo wa kiafrika ana hali ya kujikubali na kujiamini hivyo ataepuka kuweka vitu vifuatavyo kwenye mwili wake:

1. Mawigi (Nywele bandia)
Mwanamke anapoweka mawigi anakuwa ameondoa urembo wake kwa sababu yeye anakuwa hajiamini na sura yake na ndio maana anaweka mawigi.Kama wewe mwenyewe hujikubali kimaumbile nani akukubali?Pia yale mawigi huwa yananuka na kusababisha wanayoyavaa kuwa na harufu kama ya beberu.

2. Hawezi kuchubua ngozi ili afanane na wazungu kwa kufanya hivyo mwili wake unakuwa na mabakamabaka kama kenge na kuondoa urembo wa kiafrika.

3. Hawezi kujikondesha kondesha.
Mwanamke mrembo anaacha mwili wake uonekane kama uhalisia alivyoumbwa na Mwenyezi Mungu.

4. Kujichorachora marangi au tatoo na kusababisha waonekana kama makahaba.Mimi binafsi mwanamke mwenye totoo huwa namuona ni kahaba.

Napenda mwanamke wa kiafrika kama alivyo bila kuongeza madubuasha niliyoyataja hapo juu.

Kama unabisha njoo ubishe kwa hoja na kama unaunga hoja karibu ili tuweze kutokomeza vitu dada zetu wanavyofanya na kuharibu urembo wao.
 
napingana na wewe hiyo namba 3 eti kunenepeana ndo murembo mwili wawastani .,,,,,,.......... mwanamke lazima ajipambe kuweka nywele bandia nayo ni moja ya vitu vya kupambia..

kuchora tatooo pia ni tamaduni ya baadhi ya african culture na kama ni mfuatilaji mzuri wa history nadhani ungejua aili ya tatooo is from where?
ffff.jpg 11700806-ethiopian-culture1.jpg HAWA NI WAREMBO NAONA LKICHWANI KUNA BANDIA NA TATOOO ZIPO PIA
 
3. Hawezi kujikondesha kondesha.
Mwanamke mrembo anaacha mwili wake uonekane kama uhalisia alivyoumbwa na Mwenyezi Mungu.

Mkuu unampangia mtu afya yake?

Hivi unadhani unene ni sifa ndugu yangu au maradhi tu yale...

4. Kujichorachora marangi au tatoo na kusababisha waonekana kama makahaba.Mimi binafsi mwanamke mwenye totoo huwa namuona ni kahaba.

Nami si muumini wa tattoo lakini kwa kadiri nijuavyo, kuchorwa mwilini ni sehemu ya tamaduni ya baadhi ya makabila ya Kiafrika.

Utofauti uliopo ni matumizi tu ya zana za kisasa kwa hizi tattoos unazozielezea zakukera
 
Habari kwenu,

Mwanamke mrembo wa kiafrika ana hali ya kujikubali na kujiamini hivyo ataepuka kuweka vitu vifuatavyo kwenye mwili wake:

1. Mawigi (Nywele bandia)
Mwanamke anapoweka mawigi anakuwa ameondoa urembo wake kwa sababu yeye anakuwa hajiamini na sura yake na ndio maana anaweka mawigi.Kama wewe mwenyewe hujikubali kimaumbile nani akukubali?Pia yale mawigi huwa yananuka na kusababisha wanayoyavaa kuwa na harufu kama ya beberu.

2. Hawezi kuchubua ngozi ili afanane na wazungu kwa kufanya hivyo mwili wake unakuwa na mabakamabaka kama kenge na kuondoa urembo wa kiafrika.

3. Hawezi kujikondesha kondesha.
Mwanamke mrembo anaacha mwili wake uonekane kama uhalisia alivyoumbwa na Mwenyezi Mungu.


4. Kujichorachora marangi au tatoo na kusababisha waonekana kama makahaba.Mimi binafsi mwanamke mwenye totoo huwa namuona ni kahaba.

Napenda mwanamke wa kiafrika kama alivyo bila kuongeza madubuasha niliyoyataja hapo juu.

Kama unabisha njoo ubishe kwa hoja na kama unaunga hoja karibu ili tuweze kutokomeza vitu dada zetu wanavyofanya na kuharibu urembo wao.

kuna siku tulikashifiwa hapa kisa kunenepa na vitambi....hivi nyinyi wanaume mnataka nini? i'm confused!!!!!
 
msikilize Kaizer tu..wengine wote usiwasikilize
kuna siku tulikashifiwa hapa kisa kunenepa na vitambi....hivi nyinyi wanaume mnataka nini? i'm confused!!!!!
 
Last edited by a moderator:
hizi za kiafrika ni Tatoo kwa muda na event maalumu ni si kwa wakati wote, ukishamaliza kuchezwa kisha habari yake
napingana na wewe hiyo namba 3 eti kunenepeana ndo murembo mwili wawastani .,,,,,,.......... mwanamke lazima ajipambe kuweka nywele bandia nayo ni moja ya vitu vya kupambia..

kuchora tatooo pia ni tamaduni ya baadhi ya african culture na kama ni mfuatilaji mzuri wa history nadhani ungejua aili ya tatooo is from where?
View attachment 144366 View attachment 144367 HAWA NI WAREMBO NAONA LKICHWANI KUNA BANDIA NA TATOOO ZIPO PIA
 
hizi za kiafrika ni Tatoo kwa muda na event maalumu ni si kwa wakati wote, ukishamaliza kuchezwa kisha habari yake

kila siku wapo hivyo mkuuu ni tamaduni za wenzetu hao wazungu ndo wameondoa na kujidai zinaenda kinyume n haki za binadamu mkuu dig and come again
 
kuna siku tulikashifiwa hapa kisa kunenepa na vitambi....hivi nyinyi wanaume mnataka nini? i'm confused!!!!!

ukishanenepeana pressure, sukari na kifo mkoononi huku na uwezo wa kupaform kitandani kupungua na kuanza kutafuta vimada... hawa wanaume wakishakuweka ndani ni kitu ingine kabisa
 
3. Hawezi kujikondesha kondesha.
Mwanamke mrembo anaacha mwili wake uonekane kama uhalisia alivyoumbwa na Mwenyezi Mungu.

Nakubaliana na wewe kwenye masuala mengine lakini hili sijakuelewa

Mwanamke wa Kiafrika ameumbwa na Mungu kwa mwili gani?
 
kila kukicha jipya huyu anataka tujiache tunenepe bila mpangilio.....
mwingine oooo mnaboa na vtambi wasichana achene kujiachia.....

which is which????
hamjui mlitakalo nyie viumbe wa kiume... just leave us alone
 
Kunuka kwa nywele bandia kunatokana na ubandia au uchafu?!hata nywele za asili zikiwa chafu zinanuka!
 
..Nami si muumini wa tattoo lakini kwa kadiri nijuavyo, kuchorwa mwilini ni sehemu ya tamaduni ya baadhi ya makabila ya Kiafrika.

Utofauti uliopo ni matumizi tu ya zana za kisasa kwa hizi tattoos unazozielezea zakukera

Ni makabila gani yanaweka tattoo?
 
kila kukicha jipya huyu anataka tujiache tunenepe bila mpangilio.....
mwingine oooo mnaboa na vtambi wasichana achene kujiachia.....

which is which????
hamjui mlitakalo nyie viumbe wa kiume... just leave us alone

Msikilize ulienae ............
 
napingana na wewe hiyo namba 3 eti kunenepeana ndo murembo mwili wawastani .,,,,,,.......... mwanamke lazima ajipambe kuweka nywele bandia nayo ni moja ya vitu vya kupambia..

kuchora tatooo pia ni tamaduni ya baadhi ya african culture na kama ni mfuatilaji mzuri wa history nadhani ungejua aili ya tatooo is from where?
View attachment 144366 View attachment 144367 HAWA NI WAREMBO NAONA LKICHWANI KUNA BANDIA NA TATOOO ZIPO PIA

Hivi Tanzania kuna kiwanda cha shanga? au ndio hizo walizugwa nazo mababu na mabibi zetu wazungu wakawa wanajichotea utajiri? eti leo tunasema ndio utamaduni wetu! Unanchekesha.
 
Hivi Tanzania kuna kiwanda cha shanga? au ndio hizo walizugwa nazo mababu na mabibi zetu wazungu wakawa wanajichotea utajiri? eti leo tunasema ndio utamaduni wetu! Unanchekesha.

no matter what!!!! what is culture?
 
Back
Top Bottom