Huu ndio urembo wa mwanamke wa kiafrika halisi

Huu ndio urembo wa mwanamke wa kiafrika halisi

Sio lazima mwanzo ilikuwa shanga, wangeweza wakawa wanafunga mbegu na kutumia vitu halisia.

Umenena vyema kabisa, wakaona mbegu hazipendezi walipoletewa shanga ndio ikawa utamaduni wao wa kubambikiwa au sio? Naa ndiyo mpaka leo kuna watu wanafikiri shanga za rangi rangi ndio utamaduni wa Kiafrika na wakathubutu mpaka kuweka picha humu wakionesha eti utamaduni wetu. Inanshangaza sana, nilifikiri mababu na mabibi zetu walikuwa wakidanganywa, kumbe kuna wengi mpaka leo hii.
 
Naomba niwe muangaliaji wa huu mtanange, muhudumu hebu nifanyie mpango wa kilimanjaro moja baridi sana
 
Tutahangaika....na mwisho wa yote unaambulia kibuti.....mwanamke fanya unachoona uko nacho comfortable kufanya....
 
sawa mama beads is from middle east .... even research show that .... though we try to made our own beads from animal borns but we fail... stay blessed

Ni vyema umekubali kuwa shanga ulizotuwekea picha si utamaduni wetu.

Utamaduni wetu ni huo niliokuwekea picha, kuchonga meno, kujichana nyuso na sehemu zingine, kugegeda na kadhalika, siku nyingine inabidi ujifanyie ki research japo cha dakika tano kabla hujakurupuka.
 
Umenena vyema kabisa, wakaona mbegu hazipendezi walipoletewa shanga ndio ikawa utamaduni wao wa kubambikiwa au sio? Naa ndiyo mpaka leo kuna watu wanafikiri shanga za rangi rangi ndio utamaduni wa Kiafrika na wakathubutu mpaka kuweka picha humu wakionesha eti utamaduni wetu. Inanshangaza sana, nilifikiri mababu na mabibi zetu walikuwa wakidanganywa, kumbe kuna wengi mpaka leo hii.
In reality Binadamu is not an Island..., kila Culture ni mchanganyiko wa mambo ya sehemu tofauti ambayo yanabadilika kutokana na wakati na imitation kutoka sehemu tofauti. Am sure ukiangalia unaweza ukakuta vyote vinavyofanyika sasa our great great grandparents hawakufanya hata moja na hata huko magharibi kuna vitu kwenye utamaduni wao wa sasa ambavyo mababu zao hawakuwa navyo kwahiyo kuiga mazuri / kuboresha maisha sio vibaya ndio part ya civilization na kupata jambo bora zaidi.

What's wrong ni wale watu wanaosema kila kibaya au kisichowapendeza wao eti sio utamaduni wetu...., yaani wanataka watu waishi / wavae vile wanavyopendezwa wao kana kwamba wale wanaovaa tofauti ni malimbukeni na wanaiga au wanafanya tu sababu nchi nyingine zinafanya na sio kwamba wanapendezwa na kile wanachofanya. Different Strokes for Different Folks..., na hili neno utamaduni nadhani lisiwe fimbo ya kuwapigia watu sababu in the dark ages.., sidhani kama kuna mtu angependa kurudi huko na hio sio kwa waafrika tu.., sababu hata huko magharibi na so called first world countries ... walikotoka kunatisha vilevile...
 
Ni vyema umekubali kuwa shanga ulizotuwekea picha si utamaduni wetu.

Utamaduni wetu ni huo niliokuwekea picha, kuchonga meno, kujichana nyuso na sehemu zingine, kugegeda na kadhalika, siku nyingine inabidi ujifanyie ki research japo cha dakika tano kabla hujakurupuka.
sawa mama mkubwa
 
In reality Binadamu is not an Island..., kila Culture ni mchanganyiko wa mambo ya sehemu tofauti ambayo yanabadilika kutokana na wakati na imitation kutoka sehemu tofauti. Am sure ukiangalia unaweza ukakuta vyote vinavyofanyika sasa our great great grandparents hawakufanya hata moja na hata huko magharibi kuna vitu kwenye utamaduni wao wa sasa ambavyo mababu zao hawakuwa navyo kwahiyo kuiga mazuri / kuboresha maisha sio vibaya ndio part ya civilization na kupata jambo bora zaidi.

What's wrong ni wale watu wanaosema kila kibaya au kisichowapendeza wao eti sio utamaduni wetu...., yaani wanataka watu waishi / wavae vile wanavyopendezwa wao kana kwamba wale wanaovaa tofauti ni malimbukeni na wanaiga au wanafanya tu sababu nchi nyingine zinafanya na sio kwamba wanapendezwa na kile wanachofanya. Different Strokes for Different Folks..., na hili neno utamaduni nadhani lisiwe fimbo ya kuwapigia watu sababu in the dark ages.., sidhani kama kuna mtu angependa kurudi huko na hio sio kwa waafrika tu.., sababu hata huko magharibi na so called first world countries ... walikotoka kunatisha vilevile...

Unayoyasema wewe ni hayo hayo nnayoyasema mimi. Tusijidai sana kuwa na utamaduni wetu pekee wakati huohuo tunaonesha picha zinazoonesha natives wamevaa shanga za rangi rangi ambazo hata kiwanda chake hatuna.

Tamaduni ni kama nilivyoweka definitions zake huko juu.

Kwa sisi Waislaam, utamaduni wetu ni Uislaam na mafundisho yake, haijalishi tumetokea wapi na tuko wapi.
 
Mwanamke fanya unachoona ni sahii kwako. mnavyovijadili ni vigezo vya mleta mada, mwenzi wako anapenda uonekane vipi? Ndio kinachomatter.
 
Unayoyasema wewe ni hayo hayo nnayoyasema mimi. Tusijidai sana kuwa na utamaduni wetu pekee wakati huohuo tunaonesha picha zinazoonesha natives wamevaa shanga za rangi rangi ambazo hata kiwanda chake hatuna.

Tamaduni ni kama nilivyoweka definitions zake huko juu.

Kwa sisi Waislaam, utamaduni wetu ni Uislaam na mafundisho yake, haijalishi tumetokea wapi na tuko wapi.
Kama unakana kuwa shanga sio utamaduni wa Waafrika kwasababu hatutengenezi shanga hapa kwetu vipi unasema kuwa kwa Waislam utamaduni wao ni Uislam na haijalishi mmetokea wapi?

Najua unajua kuwa Uislam haukuanzia afrika na huo Uislam uemekuja na utamaduni wa waliouanzisha huku wakidai ni mavazi ya kidini

Angalia hata hiyo avatar yako,namna ya hayo mavazi ni ya kiarabu,unadhani ni vyema kuutupilia mbali huo utamaduni uliousemea huko juu kwa kuvaa mavazi ya tamaduni za watu wengine kwa kisingizio cha dini?

Back to the shanga thing
Kwanini hata shanga isiwe ni utamaduni wa Waafrika bila kujali walipotokea kama ulivyosema kuhusiana na Uislam?
 
Nnazo nini? ningekuwa nazo si ungeona nna kiwanda japo cha kutengeneza sindano? tunazo za kututosha kula, kulala, kuandika utumbo mitandaoni.

Hapa kuna swali au ni swali na muuliza swali kajijibu mwenyewe?
 
In reality Binadamu is not an Island..., kila Culture ni mchanganyiko wa mambo ya sehemu tofauti ambayo yanabadilika kutokana na wakati na imitation kutoka sehemu tofauti. Am sure ukiangalia unaweza ukakuta vyote vinavyofanyika sasa our great great grandparents hawakufanya hata moja na hata huko magharibi kuna vitu kwenye utamaduni wao wa sasa ambavyo mababu zao hawakuwa navyo kwahiyo kuiga mazuri / kuboresha maisha sio vibaya ndio part ya civilization na kupata jambo bora zaidi.

What's wrong ni wale watu wanaosema kila kibaya au kisichowapendeza wao eti sio utamaduni wetu...., yaani wanataka watu waishi / wavae vile wanavyopendezwa wao kana kwamba wale wanaovaa tofauti ni malimbukeni na wanaiga au wanafanya tu sababu nchi nyingine zinafanya na sio kwamba wanapendezwa na kile wanachofanya. Different Strokes for Different Folks..., na hili neno utamaduni nadhani lisiwe fimbo ya kuwapigia watu sababu in the dark ages.., sidhani kama kuna mtu angependa kurudi huko na hio sio kwa waafrika tu.., sababu hata huko magharibi na so called first world countries ... walikotoka kunatisha vilevile...

well said
 
Back
Top Bottom