Huu ndio ushauri pekee aliopewa Mkapa na Mwalimu Nyerere alipokuwa akiunda serikali yake 1995

Ila mwalimu bwana alikuwa ana bonge la maushauri sijui wengine wanakwama wapi

Nilimsikia mzee mmoja mstaafu eti anashauri kiongozi aliyepo aomgezewe zaidi ya miaka 10 wakati yeye miaka yake ilipoisha alitoka nduki Kali na sasa hivi anakula bata batani haguswi na yeyote
 
Sikuuliza hilo la ushauri kuwa 'valid' lini au bado uko 'valid' leo. Tafadhali nielewe.

Labda nikupe 'hint' kidogo ndipo utaelewa.

Huyo aliyepewa ushauri huo hapo 1995, na yeye leo anatoa ushauri huo huo kwa mtu wake?

Hapo ndipo ulipokosea kabisa tena kabisa,sisi hatupangiwi ebu.
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Rais akitoka upande mmoja wa muungano basi makamu wake atatoka upande wa pili.

Tunaweza kumpatia uraia wa upande wa pili nani kakwambia hilo linashindikana.Ikiwa mbunge kajivua uanachama halafu anarejeshwa bungeni kwa nguvu huku akidai yeye mwenyewe alishaondoka nini kinashindikana.
 
Tunaweza kumpatia uraia wa upande wa pili nani kakwambia hilo linashindikana.Ikiwa mbunge kajivua uanachama halafu anarejeshwa bungeni kwa nguvu huku akidai yeye mwenyewe alishaondoka nini kinashindikana.
Ni kweli kabisa, hakuma linaloshindikana nchi hii.
 
Ni kweli kabisa, mwalimu alikua anaona mbali sana. Unaweza sikiliza hotuba yake ya mwaka 67 ukabaki mdomo wazi.
 
He was a real Genius and a Father of our Nation
 
Tunaweza kumpatia uraia wa upande wa pili nani kakwambia hilo linashindikana.Ikiwa mbunge kajivua uanachama halafu anarejeshwa bungeni kwa nguvu huku akidai yeye mwenyewe alishaondoka nini kinashindikana.
Hakuna kinachoshindikana kufanyika nchi hii mbele ya mwenyekiti wa ccm hata corona tumeweza kuimaliza kwa kutumia mbinu rahisi kabisa ya kupima mapapai,mbuzi & oil hata kama machadema hayakutaka tuimalize
 
Ndio maana tunataka DJ awe Kiongozi, baada ya uchaguzi wa 2020
 
Wewe utakuwa sio mtanzania nini??? Hivyo hata joy usia wa Mwalimu utakuwa huelewi vizuri
Labda ni umri ndio unanitupa mkono, lakini enzi zetu DJ alikua ni 'Disc Jockey' na hakua na uhusiano wowote na mambo ya siasa za nchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…