Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Halafu kuna wabunge wanang'ang'ana na picha ya Rais kuwekwa kwenye hela , hii nchi kiukweli aliyeipiga jini ana roho ya kikatili sana !
Kailoga bila huruma kabisa !
View attachment 2897839
😆😆😆😆Hebu tuwekee Picha za Mavieitee ya msafara wa Mwenezi chini ya hiyo Picha l.
Sasa unabisha? Mama anaupiga mwingi sana kuelekea golini kwake, kisha anajifungaDu ! Eti mama anaupiga mwingi ! This is a shame !
Mimi nawasahihisha hao tasaf sio maelfu ni mamilioni.Halafu kuna wabunge wanang'ang'ana na picha ya Rais kuwekwa kwenye hela , hii nchi kiukweli aliyeipiga jini ana roho ya kikatili sana !
Kailoga bila huruma kabisa !
View attachment 2897839
Huo sio utafiti,utafiti una takwimu ila ukisema maelfu unaonekana wewe ni nyumbu hukuenda shule na hmekurupuka kama mtoa mada na Chadema yake.Halafu kuna wabunge wanang'ang'ana na picha ya Rais kuwekwa kwenye hela , hii nchi kiukweli aliyeipiga jini ana roho ya kikatili sana !
Kailoga bila huruma kabisa !
View attachment 2897839
Kwa asilimia kubwa umasikini wetu ni wa kujitakia wenyewe. Pia wanasiasa wanatumia huu umasikini kama mtaji wa kisiasa. Wakimaliza shida za maji, umeme, kodi etc wanakoswa ajenda za kukaa kwenye viti vya enzi.
eeh ndugu malalamiko una mpango wowote mbadala au ni kelele tu za jumla 🐒Halafu kuna wabunge wanang'ang'ana na picha ya Rais kuwekwa kwenye hela , hii nchi kiukweli aliyeipiga jini ana roho ya kikatili sana !
Kailoga bila huruma kabisa !
View attachment 2897839
dhaifu kama wewe ndio watoa rushwa halafu unalalamika 🐒Ccm na serikali imessbabisha trafiki kudai rushwa kwa nguvu Dsm barabarani.Ongeni mishahara ya watumishi umma.
comrade hilo si nyumbu Koko unadhani linaelewa sasa 🐒Huo sio utafiti,utafiti una takwimu ila ukisema maelfu unaonekana wewe ni nyumbu hukuenda shule na hmekurupuka kama mtoa mada na Chadema yake.
umesahau kutoka sauti 🐒utanyimwa poshoooo...Mimi nawasahihisha hao tasaf sio maelfu ni mamilioni.
Unataka iwekwe ya mamako? Na itawekwa natuone km hutatumia hizo noti.Halafu kuna wabunge wanang'ang'ana na picha ya Rais kuwekwa kwenye hela , hii nchi kiukweli aliyeipiga jini ana roho ya kikatili sana !
Kailoga bila huruma kabisa !
View attachment 2897839
Hakuna asiyejua kuwa we hamnazo. Hakuna serikali duniani inayokufanya kuwa maskini au tajiri. Sasa mtu km wewe ukiwa maskini ni haki yako. Siku nzima unashinda humu saa ngapi unafanya shughuli za uzalishaji. Unategemea kupewa kaposho na Chadomo kwa uzushi na upotoshaji unaouposti humu.Halafu kuna wabunge wanang'ang'ana na picha ya Rais kuwekwa kwenye hela , hii nchi kiukweli aliyeipiga jini ana roho ya kikatili sana !
Kailoga bila huruma kabisa !
View attachment 2897839
Ni Watanzania wenyeweTanzania umaskini kwa kiasi kikubwa sio wa kuwalaumu wanasiasa
Mkuu sasa lawama za TASAF Napewaje mimi ?Hakuna asiyejua kuwa we hamnazo. Hakuna serikali duniani inayokufanya kuwa maskini au tajiri. Sasa mtu km wewe ukiwa maskini ni haki yako. Siku nzima unashinda humu saa ngapi unafanya shughuli za uzalishaji. Unategemea kupewa kaposho na Chadomo kwa uzushi na upotoshaji unaouposti humu.