ikisimama panda
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 2,716
- 2,388
hommie kwenu ni kwenu tu hata kama hakupikwi chai..Hata nilogwe hiyo jezi sitoshoboka kuinunua wala kuivaa kama uzalendo ndio huo mimi hapana
hommie kwenu ni kwenu tu hata kama hakupikwi chai..
kuna mtu kashakula hela hapo..hadi izo njumu uozo mtupu!
Jamal Malinzi
Hizo jezi kitambaa kilichotumika kinaonesha hakipumuwi, wachezaji baada ya dakika kumi za kukimbizana na mpira watakuwa kama wako kwenye oven.
Jamani hivi vitu siku hizi vina sayansi yake si kukurupuka tu. Tazama huyu mchezaji kisha roa jasho kwa kuzivaa tu, bado hata hajaingia nazo kiwanjani. Mtakuja kuniambia wachezaji watavyolalamika na kuchoka haraka.
cc Bishanga
kah jamani kwanini sisi tu? Tumekubali kuwa Taifa star ni kichwa cha mwendawazimu hapo sibishi, Sasa na mashabiki nao ambao ni sisi tena nasi pia watufanye wendawazimu ? kuna siku wataleta jezi za Batiki we suburi
Jamal Malinzi
Hizo jezi kitambaa kilichotumika kinaonesha hakipumuwi, wachezaji baada ya dakika kumi za kukimbizana na mpira watakuwa kama wako kwenye oven.
Jamani hivi vitu siku hizi vina sayansi yake si kukurupuka tu. Tazama huyu mchezaji kisha roa jasho kwa kuzivaa tu, bado hata hajaingia nazo kiwanjani. Mtakuja kuniambia wachezaji watavyolalamika na kuchoka haraka.
cc Bishanga
Ha ha ha huna hoja!,na hiyo kola ya rangi ya kijani ni kitu gani?..
Hivi hizi jezi ni za kampuni gani? Adidas uhlsport nike puma au?? mbona hazina logo yoyote
Masikini huyo jamaa hata kupumua hawezi. Sijui wamemlipa shilingi ngapi kwa hiyo adhabu ya joto
Hebu kwanza angalia jezi hizo hapa
Hizi jezi wametengenezea Mwege kwa fundi kadago au? maana hata bland name hazina kabisa......
mkuu usitishike sana hata ulaya ni hivi hivi tu
Ulaya ya kwenu kishumundu??
roa=lowa