Huu ndio wakati wa wanaCCM kupigania Katiba Mpya. Vinginevyo watabaki wakilalama na kulia kila siku

Huu ndio wakati wa wanaCCM kupigania Katiba Mpya. Vinginevyo watabaki wakilalama na kulia kila siku

Chagu wa Malunde

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
8,734
Reaction score
5,750
Ufisasi, upendeleo na ubwanyenye umekuwa kama sasa ni sehemu ya maisha ya CCM. Na hii ni sababu hakijawahi kuondolewa madarakani kama chama tawala.

Ingetokea tu siku moja CCM ikashindwa uchaguzi na wale wanaoshutumiwa kuiba mali za umma kwa mgongo wa CcM wakafungwa basi kuna baadhi ya wanaCCM wangekuwa wamepata somo.

Lakini jibu juu ya hiki kilio ni katiba mpya.

Tupake katiba amabayo waziri atakuwa anaajiriwa na wananchi na akizingua anafutwa kazi na wananchi na kufikishwa mahakamani.

Tupate Katiba ambayo itazuia dhuruma ya kila namna na mahakama ndio iwe mtoa haki. Mahakama iwe chombo huru.

WanaCCM ndio mpiganie ile rasimu ya warioba ipite iwe katiba ili mabadiliko yaje na ndio itakuwa suluhu ya matatizo ya taifa letu.
 
Ufisasi, upendeleo na ubwanyenye umekuwa kama sasa ni sehemu ya maisha ya CCM. Na hii ni sababu hakijawahi kuondolewa madarakani kama chama tawala.

Ingetokea tu siku moja CCM ikashindwa uchaguzi na wale wanaoshutumiwa kuiba mali za umma kwa mgongo wa CcM wakafungwa basi kuna baadhi ya wanaCCM wangekuwa wamepata somo.

Lakini jibu juu ya hiki kilio ni katiba mpya.

Tupake katiba amabayo waziri atakuwa anaajiriwa na wananchi na akizingua anafutwa kazi na wananchi na kufikishwa mahakamani.

Tupate Katiba ambayo itazuia dhuruma ya kila namna na mahakama ndio iwe mtoa haki. Mahakama iwe chombo huru.

WanaCCM ndio mpiganie ile rasimu ya warioba ipite iwe katiba ili mabadiliko yaje na ndio itakuwa suluhu ya matatizo ya taifa letu.
Mtu anayetaka nchi yetu ipige hatua kwenda mbele, mtu anayetaka kila mmoja awe na haki sawa kwa watu wote nchini mwetu, mtu anayetaka kutenda haki, mtu anayetaka kiongozi awajibike kwa umma, kamwe hawezi kupinga uwepo wa katiba mpya.

Kama watu wote wangekuwa na mapenzi mema kwa Taifa, wangeacha ushabiki wa kipuuzi na kulifanya suala la katiba kuwa suala la vyama vya siasa.
 
Ufisasi, upendeleo na ubwanyenye umekuwa kama sasa ni sehemu ya maisha ya CCM. Na hii ni sababu hakijawahi kuondolewa madarakani kama chama tawala.

Ingetokea tu siku moja CCM ikashindwa uchaguzi na wale wanaoshutumiwa kuiba mali za umma kwa mgongo wa CcM wakafungwa basi kuna baadhi ya wanaCCM wangekuwa wamepata somo.

Lakini jibu juu ya hiki kilio ni katiba mpya.

Tupake katiba amabayo waziri atakuwa anaajiriwa na wananchi na akizingua anafutwa kazi na wananchi na kufikishwa mahakamani.

Tupate Katiba ambayo itazuia dhuruma ya kila namna na mahakama ndio iwe mtoa haki. Mahakama iwe chombo huru.

WanaCCM ndio mpiganie ile rasimu ya warioba ipite iwe katiba ili mabadiliko yaje na ndio itakuwa suluhu ya matatizo ya taifa letu.
Kwa Kila mara siwanakwiba 🤔
 
Raisi akifa Makamu anakuwa raisi ni katiba ya hovyo kabisa hii.
Makamu wa raisi ni chaguo la Rais na sio chaguo la watz ni rahisi kupata raisi wa hovyo kwa mtindo huu maana always ni lazima raisi uchagua Makamu wa level ya chini Ili awe kumdhibiti.
Raisi akifa nchi urudi kwenye uchaguzi watz waweke mtu anaefaa.
Sio mambo ya kurithi utadhani hii ni nchi ya kifalme.
 
Back
Top Bottom