Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu na beachhuku ndo kwakwenda kuwai viwanja aise.
Nawai viwanja vya kutosha uko mbeleni mkija na wapiga bei za kutosha.
Kweli wewe ni mjinga. Unauliza kama kuna maji na oxygen badala ya kuuliza pombe? Binadamu anaweza kuishi kwa maji na oxygen bila pombe?Kuna maji?kuna oxygen?
Ndy swali nilitaka kuuliza Sasa hvKuna maji?kuna oxygen?
Huwa hata mimi hili nalishangaa sana😆😆😆Kweli wewe ni mjinga. Unauliza kama kuna maji na oxygen badala ya kuuliza pombe? Binadamu anaweza kuishi kwa maji na oxygen bila pombe?
Tafiti za awali ni kuwa ni sayari ya dunia pekee ndo yenye uhai wa kuishi binadamu..so huko kwingine ni labda itokee muumbaji abadili ..nakuambia kama kungekuwa na uwezo wa kuishi binadamu kuna watu hapa duniani wangekuwa zao huko mapema kabisa, na kuwahi maeneo.Ndy swali nilitaka kuuliza Sasa hv
SureWaja wa Mungu watasema hiyo ni editing imefanywa