Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kutokana na huu ujinga wenu tulio fika hatuwezi waambia ,kwa sababu za imani zenu za kijingaNjia ya kwenda huko ni ipi ndugu yangu wanafikaje fikaje huko kupitia baharin au angan
Mwenye kujua anijuze
Nimekumbuka mbali sana yesu akisema mimi ni njia ya uzima na ufufuo anifataye hatapotea kamwe
Kumbe mbila njia huwezi fika unakokwenda na hao jamaa nasa wanatumia njia gan kufika huko
maji yapo chini ya ardhi, na kuna barafu kwenye poles zake.Kuna maji?kuna oxygen?
Wazungu kuwafikia ngumu sasa imagine hapo kuna madhahabu gas na mafuta then wao ndio wa kwanza kufika kuna nini tena unafikiri..NASA wametoa picha mjongeo ya sayari ya Mars, yaani ni kama inafanana na dunia yetu, nahisi huko mbele kuna watu wataenda kuishi huko.
View attachment 3117893
View attachment 3117895
View attachment 3117899
Source: science.nasa.gov
Imaginary pictures sio halisiaNASA wametoa picha mjongeo ya sayari ya Mars, yaani ni kama inafanana na dunia yetu, nahisi huko mbele kuna watu wataenda kuishi huko.
View attachment 3117893
View attachment 3117895
View attachment 3117899
Source: science.nasa.gov
Ikiwa dunia tumeikuta wataweza vipi kuitengeneza Mars?maji yapo chini ya ardhi, na kuna barafu kwenye poles zake.
oxygen kidogo sana.
lakini kinadharia inawezekana kubadilisha sayari iwe na uwezo wa kuhifadhi viumbe hai(terraforming) ila hiyo teknolojia hatujaifikia
na nimesikia wanasayansi wanasema venus itakuwa rahisi zaidi kuterraform kuliko mars, sijui kwanini
inawezekana kabisa ikifika mahali binadamu tukapata teknolojia ya kusafiri kwenye tupu, tutajaribu kumiliki sayari zingine,
na isitoshe vitisho vya mabadiliko ya tabia nchi, malighafi kuisha vikatusukuma kufikia huko
😅 Njia zitakuja tu..Njia ya kwenda huko ni ipi ndugu yangu wanafikaje fikaje huko kupitia baharin au angan
Mwenye kujua anijuze
Nimekumbuka mbali sana yesu akisema mimi ni njia ya uzima na ufufuo anifataye hatapotea kamwe
Kumbe mbila njia huwezi fika unakokwenda na hao jamaa nasa wanatumia njia gan kufika huko
kupitia tupuNjia ya kwenda huko ni ipi ndugu yangu wanafikaje fikaje huko kupitia baharin au angan
Mwenye kujua anijuze
Nimekumbuka mbali sana yesu akisema mimi ni njia ya uzima na ufufuo anifataye hatapotea kamwe
Kumbe mbila njia huwezi fika unakokwenda na hao jamaa nasa wanatumia njia gan kufika huko
hawaitengenezi, wanaibadilisha.Ikiwa dunia tumeikuta wataweza vipi kuitengeneza Mars?
Ila baridi haigusiki hukoNASA wametoa picha mjongeo ya sayari ya Mars, yaani ni kama inafanana na dunia yetu, nahisi huko mbele kuna watu wataenda kuishi huko.
View attachment 3117893
View attachment 3117895
View attachment 3117899
Source: science.nasa.gov
...nahisi huko mbele kuna watu wataenda kuishi huko.
Nipo rafiki yangu lakin ni ukweli kuna kipindi kilipita kimiya kama miaka 5 bila kuingia humu jamvin😅 Njia zitakuja tu..
Beira nimefurahi kuona bado umooooo.. Muda mrefu sijakusoma. Lazima wenfi wamemisi pia post zako 🤗
Dunia inaenda kasi watundu ni wengi sana MUNGU AENDELEE KUWABALIKI WAZUNGUkupitia tupu
ukitoka nje ya sayari, kwa kutoka nje ya anga basi unaingia kwenye tupu
umbali kutokea hapa mpaka mars ni km milioni 200+ japo inaweza kuwa kidogo au zaidi kwasababu ya kulizunguka jua
hapo ni roketi kubwa zitatumika kupeleka watu, marekani wanataka kufanya hiyo kazi wanasema itachukua miaka mitatu
ulimwengu ni mkubwa sana, kwenda tu hapo kwenye mwezi ilichukua zaidi ya siku 3, bila kuhesabia kurudi
jinga sana wewe umenifanya nicheke kama tairahuku ndo kwakwenda kuwai viwanja aise.
Nawai viwanja vya kutosha uko mbeleni mkija na wapiga bei za kutosha.
huku ndo kwakwenda kuwai viwanja aise.
Nawai viwanja vya kutosha uko mbeleni mkija na wapiga bei za kutosha.