Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna wakina mafweleKuna pombe?
Ngoja tuone.hawaitengenezi, wanaibadilisha.
wanaweka oxygen kwenye atmosphere, wanapunguza/kuongeza gravity, wanatengeneza maji, wanaotesha mimea, wanaweka wanyama nk
NASA wametoa picha mjongeo ya sayari ya Mars, yaani ni kama inafanana na dunia yetu, nahisi huko mbele kuna watu wataenda kuishi huko.
View attachment 3117893
View attachment 3117895
View attachment 3117899
Source: science.nasa.gov
Nasikia Etihad na Ethiopia Airline wanafanya ruti za moja kwa moja japo bei ndio kipengele ujipange.Njia ya kwenda huko ni ipi ndugu yangu wanafikaje fikaje huko kupitia baharin au angan
Mwenye kujua anijuze
Nimekumbuka mbali sana yesu akisema mimi ni njia ya uzima na ufufuo anifataye hatapotea kamwe
Kumbe mbila njia huwezi fika unakokwenda na hao jamaa nasa wanatumia njia gan kufika huko
Sisi kama wakristo iman yetu ina ruhusu sayansiMkuu kutokana na huu ujinga wenu tulio fika hatuwezi waambia ,kwa sababu za imani zenu za kijinga
Nipo rafiki yangu lakin ni ukweli kuna kipindi kilipita kimiya kama miaka 5 bila kuingia humu jamvin
Kitu kingine ndo hivyo tuna kua umri nao unasogea hivyo ya kale tunayaacha tunaanza mapya
Uko poa lakin dada yangu
Mwaka 1207 pale Gerezani Kariakoo zilipigwa ngumi kisa kuna ubishi haiwezekani binadamu aliyepo Mzizima na Songea wakawasiliana papo kwa papo na wakaelewana.Mtasubiri sana, hakuna binadamu atakayeweza kuishi nje ya dunia hii.
Amina ubalikiwe sanaNipo poa Amina 🤲🏽
Hakika kukua tunakua 😊
Nakutakia kila la kheri katika yote maishani. 😍🤗
Hakuna maji , hakuna mimea, hakuna mvuaKuna maji?kuna oxygen?
venus sahau too hot there!maji yapo chini ya ardhi, na kuna barafu kwenye poles zake.
oxygen kidogo sana.
lakini kinadharia inawezekana kubadilisha sayari iwe na uwezo wa kuhifadhi viumbe hai(terraforming) ila hiyo teknolojia hatujaifikia
na nimesikia wanasayansi wanasema venus itakuwa rahisi zaidi kuterraform kuliko mars, sijui kwanini
inawezekana kabisa ikifika mahali binadamu tukapata teknolojia ya kusafiri kwenye tupu, tutajaribu kumiliki sayari zingine,
na isitoshe vitisho vya mabadiliko ya tabia nchi, malighafi kuisha vikatusukuma kufikia huko