Huu ndiyo Ukubwa wa Simba: Timu 8 zitakazoenda robo fainali CAFCl, zote zinatokea nchi za Kiarabu isipokuwa Simba na Mamelodi

Na Simba asemeje? Yeye aliingia fainali.
Mdau aliuliza Yanga itaingia lini makundi, ameuliza as if haijawahi kuingia hata mara moja.
Ndio nikamtaarifu, inawezekana alikuwa bado kinda wakati huo.
Anaeshindwa kukubali mafanikio ya Simba kwa kuilinganisha na Yanga kwenye mashindano ya kimataifa huyo ni wa kumpuuza.
 
Ili mradi tu ujifariji. Mashabiki wa uto mna kazi Sana ya kutetea ujinga,anayewalipa mwambieni awaongeze mshahara maana kazi ni ngumu Sana.

Miaka kadhaa tu nyuma Simba ilikuwa kwenye kundi moja na waarabu wawili tena mmoja akiwa ndiye mbabe wa haya mashindano na Simba akatoboa kuingia robo fainali.

Simba
Al ahly (mwarabu)
Js Soura (mwarabu)
As Vita club.
 
Najua Yanga iliingia Makundi miaka 25 iliyopita, nimemaanisha ni lini mtaingia tena?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…