Huu ndiyo usajili bora Tanzania mpaka sasa

Huu ndiyo usajili bora Tanzania mpaka sasa

Nadhani tusubilie kiwanjani,huwa sitoi comment yoyote Kwa mchezaji mpya hadi aprove kiwanjani........nashangaa asubuhi DSM kwenye vijiwe vya magazeti watu wanavimba mishipa Kwa kubishana.......utajikuta unamsifia mtu kumbe ni Sawadogo ajaye
Sawadogo alipnekana tu......mtu mzito sana yule
 
USAJILI BORA MPAKA SASA

Dirisha halijafungwa bado lipo wazi ila mapaka muda huu sajili zote zilizofanyika hapa nchini kwenye klabu zote, bila kupepesa macho, bila unafki huu kwangu ndo usajili Bora uliofanywa na Yanga Africans wa Yao Attohoula [emoji119][emoji736]

Huyu mwamba ana speed

Accuracy in tackling

Kufunga

NB: muda utaongea View attachment 2688554
Hajamzidi Kapombe bado.
 
USAJILI BORA MPAKA SASA

Dirisha halijafungwa bado lipo wazi ila mapaka muda huu sajili zote zilizofanyika hapa nchini kwenye klabu zote, bila kupepesa macho, bila unafki huu kwangu ndo usajili Bora uliofanywa na Yanga Africans wa Yao Attohoula [emoji119][emoji736]

Huyu mwamba ana speed

Accuracy in tackling

Kufunga

NB: muda utaongea View attachment 2688554
Gael bigirimana,chico ushindi wakubanza, ....muda utaongea
 
Inaonekana hapo sakho ameshindwa kumpita Akaamua kujaribu kwa mbali mzembe ni kipa sio beki .
Beki ndio mzembe aliruhusu vipi hadi sakho akapiga huo mpira
 
Nadhani tusubilie kiwanjani,huwa sitoi comment yoyote Kwa mchezaji mpya hadi aprove kiwanjani........nashangaa asubuhi DSM kwenye vijiwe vya magazeti watu wanavimba mishipa Kwa kubishana.......utajikuta unamsifia mtu kumbe ni Sawadogo ajaye
Baadhi ya wapenzi wa Yanga na simba ni vichaa tena wengine watu wazima.
 
Back
Top Bottom