Huu ndiyo uzuri wa Rais Samia, ukweli ndiyo hulka yake

Huu ndiyo uzuri wa Rais Samia, ukweli ndiyo hulka yake

BrownRange

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2020
Posts
927
Reaction score
1,191
Kama Kuna Jambo kubwa nimejifunza kutoka kwa Rais wangu kipenzi, mama SAMIA, ni kuwa huru kusema ukweli, hata Kama unauma. Mama Samia hafichi, Kama amekopa anasema amekopa, Kama analipa anasema analipa.

Jambo hili limekuwa likiwauma watu, mlitaka mheshimiwa Rais aongope, wakati mnajua Kuna miradi mikubwa inahitaji fedha, na bado makusanyo yetu hayakidhi kuhudumia vitu vyote kwa wakati mmoja.

Tumpe Rais nafasi afanye kazi take kwa Uhuru, tuache maneno yasiyokuwa na tija.
 
Kusifia ni jambo jema sema sana ila kukosoa ni bora zaidi, investment of complances in leadership is catastrophic.

Hongera kwa kuwa muwazi ila pia asichukie wala kufedheheka akikosolewa kuhusu jambo hilohilo
 
Kama Kuna Jambo kubwa nimejifunza kutoka kwa Rais wangu kipenzi, mama SAMIA, ni kuwa huru kusema ukweli, hata Kama unauma. Mama Samia hafichi, Kama amekopa anasema amekopa, Kama analipa anasema analipa.

Jambo hili limekuwa likiwauma watu, mlitaka mheshimiwa Rais aongope, wakati mnajua Kuna miradi mikubwa inahitaji fedha, na bado makusanyo yetu hayakidhi kuhudumia vitu vyote kwa wakati mmoja.

Tumpe Rais nafasi afanye kazi take kwa Uhuru, tuache maneno yasiyokuwa na tija.
Uongozi wa Rais Samia Suluhu ni uongozi wa ukweli na uwazi watanzania wenye akili timamu tunajivunia hilo serikali ni kweli inakopa na maendeleo tunayaona
 
Kama Kuna Jambo kubwa nimejifunza kutoka kwa Rais wangu kipenzi, mama SAMIA, ni kuwa huru kusema ukweli, hata Kama unauma. Mama Samia hafichi, Kama amekopa anasema amekopa, Kama analipa anasema analipa.

Jambo hili limekuwa likiwauma watu, mlitaka mheshimiwa Rais aongope, wakati mnajua Kuna miradi mikubwa inahitaji fedha, na bado makusanyo yetu hayakidhi kuhudumia vitu vyote kwa wakati mmoja.

Tumpe Rais nafasi afanye kazi take kwa Uhuru, tuache maneno yasiyokuwa na tija.
Kilichomfanya amuwajibishe Ndugai ni kipi?
 
Kama Kuna Jambo kubwa nimejifunza kutoka kwa Rais wangu kipenzi, mama SAMIA, ni kuwa huru kusema ukweli, hata Kama unauma. Mama Samia hafichi, Kama amekopa anasema amekopa, Kama analipa anasema analipa.

Jambo hili limekuwa likiwauma watu, mlitaka mheshimiwa Rais aongope, wakati mnajua Kuna miradi mikubwa inahitaji fedha, na bado makusanyo yetu hayakidhi kuhudumia vitu vyote kwa wakati mmoja.

Tumpe Rais nafasi afanye kazi take kwa Uhuru, tuache maneno yasiyokuwa na tija.
Naunga mkono hoja, tatizo la Watanzania waolalamika ni mazoea!.
P
 
Kama Kuna Jambo kubwa nimejifunza kutoka kwa Rais wangu kipenzi, mama SAMIA, ni kuwa huru kusema ukweli, hata Kama unauma. Mama Samia hafichi, Kama amekopa anasema amekopa, Kama analipa anasema analipa.

Jambo hili limekuwa likiwauma watu, mlitaka mheshimiwa Rais aongope, wakati mnajua Kuna miradi mikubwa inahitaji fedha, na bado makusanyo yetu hayakidhi kuhudumia vitu vyote kwa wakati mmoja.

Tumpe Rais nafasi afanye kazi take kwa Uhuru, tuache maneno yasiyokuwa na tija.
Alisema ataongeza 23% akahepa.

Point kuu hapa ni kwamba kupanda Kwa gharama za maisha huyu asiye kima kidogo anafidia wapi gharama za maisha
 
20230102_154156.jpg
Kama Kuna Jambo kubwa nimejifunza kutoka kwa Rais wangu kipenzi, mama SAMIA, ni kuwa huru kusema ukweli, hata Kama unauma. Mama Samia hafichi, Kama amekopa anasema amekopa, Kama analipa anasema analipa.

Jambo hili limekuwa likiwauma watu, mlitaka mheshimiwa Rais aongope, wakati mnajua Kuna miradi mikubwa inahitaji fedha, na bado makusanyo yetu hayakidhi kuhudumia vitu vyote kwa wakati mmoja.

Tumpe Rais nafasi afanye kazi take kwa Uhuru, tuache maneno yasiyokuwa na tija.
 
Kama Kuna Jambo kubwa nimejifunza kutoka kwa Rais wangu kipenzi, mama SAMIA, ni kuwa huru kusema ukweli, hata Kama unauma. Mama Samia hafichi, Kama amekopa anasema amekopa, Kama analipa anasema analipa.

Jambo hili limekuwa likiwauma watu, mlitaka mheshimiwa Rais aongope, wakati mnajua Kuna miradi mikubwa inahitaji fedha, na bado makusanyo yetu hayakidhi kuhudumia vitu vyote kwa wakati mmoja.

Tumpe Rais nafasi afanye kazi take kwa Uhuru, tuache maneno yasiyokuwa na tija.
Baada ya kuambiwa huo ukweli umefaidikaje?
Wameondoa tozo au?
 
Hakuna siri hata Magufuli mnaemsema hakukopa kwa siri tatizo hatupendi kusoma ila tunapenda umbea
Kuna shida kwenye bongo za watanzania.
Hamjui wapi mnaelekea na hata mkiulizwa mnakoenda pia hamjui.

Unakuta mtu anashabikia kitu, kesho anaponda hicho kitu kwa kuwa hakipo upande wake kimefanywa na mtu mwingine ambae hampendi hata kama kina faida na ni Bora ashabilie kitu ambacho kinamuumiza kwa kuwa anaekifanya yupo against na yule asiyempenda.

Kufika mbele ni ngumu kwa hizi akili matope.
 
Ndugai akiwa Spika wa Bunge alipitisha Bajeti ya 2021/22 yenye matumizi ya Tsh 34 Trillion huku mapato yakiwa Tsh 18 Trillion Ina maana kulikuwa na nakisi ya Tsh 16 Trillion. Alipaswa kuchukua hatua akiwa ndani ya Bunge.

Kuja kuulizia nje ni UNAFIKI
Aisee
 
Kama Kuna Jambo kubwa nimejifunza kutoka kwa Rais wangu kipenzi, mama SAMIA, ni kuwa huru kusema ukweli, hata Kama unauma. Mama Samia hafichi, Kama amekopa anasema amekopa, Kama analipa anasema analipa.

Jambo hili limekuwa likiwauma watu, mlitaka mheshimiwa Rais aongope, wakati mnajua Kuna miradi mikubwa inahitaji fedha, na bado makusanyo yetu hayakidhi kuhudumia vitu vyote kwa wakati mmoja.

Tumpe Rais nafasi afanye kazi take kwa Uhuru, tuache maneno yasiyokuwa na tija.
Makusanyo hayakidhi?

Tuambie pesa hizi zinaenda wapi?

Tozo ya miamala ambayo haikuwepo huko mwanzo pato jipya hilo inaenda wapi pesa yote hiyo?
Miamala mingapi inafanywa kwa siku nchi nzima na kiasi gani kinapatikana

Bando la jero linauzwa buku kwa sasa maana yake ni kwamba kila kwenye elfu moja ya bando serikali inachukua zaidi ya mia tano
Kwa nchi nzima ni kiasi gani kinakusanywa kwa siku? pato jipya hilo

Kila mita ya Luku nchi hii inachangia shilingi elfu moja kila mwezi
Ni pato jipya

Tunajua duniani huko bei ya mafuta imerudi zamani haya mabilioni yanayokusanywa yanaenda wapi

Watanzania ni mang'ombe
 
Back
Top Bottom