Huyu ndiyo mpenzi wa Mungu Sasa. Siyo kama yuleee, alikuwa anaimba tu mdomoni (kuwa msema kweli ni.........) lkn alikuwa muongo hatari.mama SAMIA, ni kuwa huru kusema ukweli, hata Kama unauma. Mama Samia hafichi, Kama amekopa anasema amekopa, Kama analipa anasema analipa.