Huu ndo ujumbe wa Ommy Dimpoz baada ya WCB kutoa ngoma mpya, bifu bado linaendelea

Huna jipya wewe pambana na hali yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpaka nimeanza kuhisi kiba ni bwana ake only sio kwa ommy kumpigania hivyo haiingii akilini
 
Bi Omary fighting on behalf of her man.

Kweli mapenz yanarun dunia
 
Ila ommy dimpoz akili zake anazijua yeye mwenyewe ..........duuu
 
Huyu mshikaji ni mswahili kinomaaaaa[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji16][emoji23][emoji23][emoji16]

usisahau vya kusahau kabla kusahau hAkujakusahau wewe uliye sahau
 
Tupogo [HASHTAG]#Zilipendwa[/HASHTAG] sasa hivi kawa mwanamuziki wa Instagram. Wenzie wanafanyakazi yeye kutwa majungu kama Mangi Kimambe
 
Hahahaha all in all ...Diamond ni msanii alofanikisha afrika mashariki mpaka kiafrika naduniani ,,huyu jamaa tukiachana na unafiki wa kitanzania jamaa anajielewa na anajua kazi yake na anaipenda kweli ..nahuyo ndo diamond ..


Huu mwingine ni unafiki tu sanasana hao akina ommy ndio wanatafuta jina kupitia diamond ...

Ningekua diamond ningekaa kimya ili nisiwape kabisa .
 

Mchezo upi Cocochannel?
 
Kwani aliyeanza hizi chokochoko ni nani? Mbona mnajitoa akili hivyo....
 
Aliyeelewa maana jaman msaada anitafsirie

invest what you are willing to lose
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…