Don chul Lingula
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 363
- 276
weka maneno yako vizuri alikiba ndie aliepost siku 1 kabla ya wimbo kuachiwa ,diamond ilisikika atatoa ngoma tareh 1 aliomshirikisha patoranking lakini naona kabadili ratiba ghafla ,je hapo unaonaje?Tabu wanajua Ali kaboronga
Na ilishajulikana WCB kuwa watatoa mwimbo leo na aali ndio akandandia baada ya lile bifu.
Ommy anawashwa na kitu.. anazidi kuharibu kabisa.. kwa kuonyesha mwenzake tamemshinda.. quality za video eeeeh ile ya kwanza kutoka ni majanga.
Wanampigia promo Diamond bab kubwaaaa eeeh.. halafu huyu anapenda sana ule mchezo shaaaaa
Kwa hiyo ulitaka Diamond asitoe wimbo kwa sababu Kiba katoa?Naseeb na team yake wamepanic wanaonyesha wanapambana na Ali kwa nguvu zote. Tumemjua anayeleta bifu nani! Ali mmoja kikundi na wanamuziki wanapanikije? Wcb wasajili mtu mwenye busara awaongoze.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wasema wewe. Hayo maneno yote yakoKwa hiyo ulitaka Diamond asitoe wimbo kwa sababu Kiba katoa?
Team rock star woteKwa maaana hiyo Omary Nyembo anadhihirisha yeye yupo nyuma ya Ali Kiba akimsapoti kimya kimya...?
Alafu wagomvi wote wametokea Kigoma kuja kugombania Darrrrrr.Tulia Dawa iwaingie mlizoea kumuonea kiba sasa mmekutana na mswahili.hawa wote wako lebo moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Mahaba niue.Bi Omary fighting on behalf of her man.
Kweli mapenz yanarun dunia
Anashindana na blad key mkuu.. "Vinapanda bei"Sjawai ona or sikia nyimbo mbaya kama hii ya Ali k..huyu jamaa anashindana kweli au anafanya utani
Na hata alivyosema Fid q watu hawakuelewa ommy angechukua beat ya Fresh na kutoa diss trackwanamuziki watz tatizo hawajui kutumia hizi nafasi,hili bifu lingeingiza pesa ndefu sana kama wangedili na kutoleana povu kwenye muziki kuliko kwenye social networks,huku hakuna pesa inayoingia fujo tuu unasababisha watu watukanane bila sababu wakati ungeweka nyimbo wangebishana kwa mistari ya kwenye muziki
Alikupungua au ulimpunguaa????hvi hili punga halina kazi za kufanya!? mbona muda mwingi anaingia kwenye battlefield wakati vita haimuhusu??
bro kidole na jicho... hahahahahAlikupungua au ulimpunguaa????
Acha kumfananisha Masihi Wa Bwana na vitu vyenu vya Kipumbavu.McDonaldJr Ommy ni mkata umeme mzuri...namfananisha na Matic,Casemiro na Kante!
Ni kama Yohana Mbatizaji...anaandaa mapito ya "masihi" Kiba!
Hakuna mswahili Gungu labda Mtabwa.Tulia Dawa iwaingie mlizoea kumuonea kiba sasa mmekutana na mswahili.hawa wote wako lebo moja
Sent using Jamii Forums mobile app