Huu Ndo Ukweli kuhusu Mkoa wa Mara

Huu Ndo Ukweli kuhusu Mkoa wa Mara

acha uongo wewe ..mara ni mara tu ....Mme kumkata panga mkewe kitu cha kawaida Sana acha kupotosha.. ndio maana mji hauendelei maana mtu anaogopa kufungua biashara zake za maana...maana ukipewa 10000 mtamchinja tu ....bila woga...

mnahitaji Maombi ya ukombozi ili mfunguliwe na maroho ya mauaji na kukatana bila hata woga....khaaa acha kucheza na kina muraaa bana!....

watu wanakuja tu sababu ya ajira....na wanapangiwa 19 wanaripoti 4 khaaa nyie Sio kabisa.....maana mtu akija kwenu aombe Sana Mungu kila iitwapo Leo....maana nyie Sio.
 
Kuna jamaa moja alikwenda Tarime, akiwa amekaa bar anakunywa bia yake akaja jamaa ana panga na rungu halafu ana makovu kibao usoni
Akamsalia huyo mgeni: hujambo mrembo? jamaa akabaki anamsahangaa tu.
Akarudia hujambo mrembo? Jamaa kwa uoga akaitikia sijambo!
Akamwambia yule jamaa - ole wako usinge itikia ungejua mi nina, shenzi we mwanaume gani huna kovu? Halafu huyoo akasepa, huyo mgeni akabaki anatetemeke tu asijue la kufanya.
Hiyo ndy tarime.
 
Ofcoz mtu ukileta upumbavu kesi inaishia mtaani. Haina haja ya kwenda polisi maana polisi tunawaona kama wanafunzi wa primary tu.

Ukitaka kuja mkoani kwetu, heshimu watu, acha ujuaji hapo utaishi kama mbinguni.

Nauoenda sana mkoa wa mara a.k.a KIUMENI

NYOTE MNAKARIBISHWA
 
Kuna jamaa moja alikwenda Tarime, akiwa amekaa bar anakunywa bia yake akaja jamaa ana panga na rungu halafu ana makovu kibao usoni
Akamsalia huyo mgeni: hujambo mrembo? jamaa akabaki anamsahangaa tu.
Akarudia hujambo mrembo? Jamaa kwa uoga akaitikia sijambo!
Akamwambia yule jamaa - ole wako usinge itikia ungejua mi nina, shenzi we mwanaume gani huna kovu? Halafu huyoo akasepa, huyo mgeni akabaki anatetemeke tu asijue la kufanya.
Hiyo ndy tarime.
Aaiiseee umenifanya niogope kabisa kwenda Mara
 
Aaiiseee umenifanya niogope kabisa kwenda Mara
Huko usishangae watu wanakwenda disco na panga na rungu, kwao ni jambo la kawaida.
Ila sehemu yenye shida sana ni north mara, kama nyamongo, nyasincha nyanungu, huko hata ukikatwa mapanga polisi hawaangaiki km ww ni mwenyeji coz ni kesi za kawaida,lkn ukiwa mgeni wanaweza kufuatilia hilo tukio.
Rorya sio kwa kiasi flani hakuna matukio ya ajabu ajabu.
Karibu Mara
 
me napaogopa huko huniambii kitu,nasubiri ajira serikalini,lakini nikipangiwa huko mikoa ya wakatili siji ng'oo.watu wa huko wengi lazima wawe wakatili kwa sababu hayo matukio wanayashuhudia kuanzia ngazi ya familia tangu wakiwa watoto, wadogo,so wanaona ni kitu cha kawaida kufungua butcher mana washazoea kuona baba anamkata mapanga mama,mtaani watu wanajeruhiana vibaya nk,mtu aliyeyaona haya matukio angali akiwa mdogo lazima na yeye ayaone ya kawaida hata kuyafanya endapo atapata hasira.
 
Mara Mara Mara, kwanini kila siku Mara, Mara oooh huyu kamchinja mkewe, Mara oooh huyu kawakata mapanga ng'ombe 10 wa jirani. Hivi Mara mna nini mpaka kila siku haipiti taarifa ya habari bila kutajwa Mara kwa ukatili???
 
Mi ni nyumban napapenda sana kwa sababu ni nyumban, lkn huwa nikienda likizo nashuhudia mambo ya ajabu mpk naogopa, ila mambo yatakuwa mazuri tu karibuni sana hasa walimu na Polisi ili mtubadilishie watu.

Kaoge au Godfrey Masunga, ni msukuma si wa Mara huyo, ingawa Mara imemuathiri ana confidence balaa kwa ujinga anaofanya
 
Nimeishi Mara, mazingira mazuri, jamii iko hovyo (japo si wote). Walimchinja rafiki angu aliyeajiriwa kama mwl wa Secondari kisa kudai hela alomkopa mwenyeji. Real Mara pana mapepo ya damu
 
Mna vurugu za hovyo hovyo ndiyo maana MNA mkoa wa kipolisi
 
Acha kutudanganya mkuu

Jiulize kwanini kuna Kanda maalum ya kipolisi ya Tarime-Rorya?
Kanda maalumu si ni maneneo mawili tu kama ilivyo kwa Dar es salaam ambako kila kukicha mnakimbilia huko mwishoe mnakuwa wanaume wa Dar es salaam.!!!!!
 
Mara kwa rutuba pako poa nimekaa huko ila ni watata sana hawapo friendly kabisa mtoto mdogo wa miaka 10 anaongea na mtu mzima kama rika lake hawana adabu kabisa halafu hawana polite language na wakishakula kichuri ndio wanajiona rambo..... Vita Vita Muraa

Mungu awasaidie.
 
Back
Top Bottom