Huu Ndo Ukweli kuhusu Mkoa wa Mara

Mbna kule ni kawaida na wa2 wako poa kabisa
Ata dsm kuna hayo mambo lkn mara ndo inatangazwa vibaya sana
Insue ni usiibe wake za wa2 au mali za wa2 baass
 
Hospitali ya milembe kiuhalisia ilitakiwa ijengwe kule maana hata kwa macho unaweza kujua kuwa kuna wagonjwa wengi wa akili.......
Inawezekana vipi mtu mwenye akili timamu akamuua mke wake kipenzi au kumtia ulemavu wa kudumu kwa kosa tu la kuchelewa kisimani....!!??

Ni mpumbavu pekee na mgonjwa wa akili mwenye kuweza kuyafanya hayo....
 
Mmh hiyo hatari,, hivi bado hawajabadilika???
 
Nimeishi Mara, mazingira mazuri, jamii iko hovyo (japo si wote). Walimchinja rafiki angu aliyeajiriwa kama mwl wa Secondari kisa kudai hela alomkopa mwenyeji. Real Mara pana mapepo ya damu
Alikufa.?
 

Nyila egenge habariki msubhati??
 
Kulikua na mkutano wa wamama, na ulikua na kauli mbiu ya 'haki sawa'

Walikusanyika wamama wa mikoa mbali mbali ya Tanzania na mara ikiwa miongoni ...

Sasa wakakubaliana kua, kila mama akirudi kwake aomgee na mume wake wasaidiane kazi.

Halafu baada ya mwezi na nusu wakutane tena kupeana ripoti.


Muda ukafika, ripoti wakaanza kupeana

mama1 (Dar )

siku ya kwanza kuongea nae, sikuona action yoyote, siku ya pili, na ya tatu pia .. Ila siku ya nne nikaona anafanya kazi kunisaidia, hadi hivi sasa... basi wamama wakawa wanampongeza

Ikaenda hivyo almost kwa wamama wamikoa yote, ilipofika kwa wa mkoa wa mara

mama - mara ; Siku ya kwanza, sikuona kitu, siku ya pili , sikuona kitu, siku ya tatu sikuona kitu siku ya nne ndio kidooogo nikaona ka mwanga ka jua ....


N.B. Hii habari niliiaikia kwa Anko john kitime facebook!
 
mkuu yamekutoka moyoni mno,hongera kwa kuwa mzalendo kwa mji wako/kwenu...maana mkataa kwao hakika ni mtumwa.
 
ni kweli jamani Mimi baba angu katoka Mara nyamsisi ... kama unaenda musoma mjini
mbona wastaarabu tu
sema tu jamii za wafugaji hawaishi visa ila sio kwamba eti ukienda umechinjwa hapana kupo kawaida sana...
sema tu akina mura ule urefu wao mibaba imeshiba ndio wanatisha na uongeaji wao kama amri
wako kawaida sana ...na jamii yoyote ya wafugaji lazima wawe wakorofi kiasi flani..
mimi mwenyewe mwezi wa nane naenda
 
Asee hata mimi nimetokea huko ila mkoa wangu walioendelea ni watu wa tokea mikoa mingine... ila watu wa hapo hapo walofanikiwa niwachache sana. Wapo wakwaya,wajita,&co ni wachawi hao. Yaani iliufanikiwe mkoani mara unatakiwa uwe mchawi haswaaaa maana ukianzisha kamradi kako kakaanza kufanikiwa kidogo ni shidaa. Ndo maana mpaka leo ukienda Musoma nyumba nyingi bado ni zile zile tokea uhuru!
 
NAOMBA UNIPE TOFAUTI YA ''GENERALIZATION'' kati ya Uzi wako na Signature yako..
Uzi wangu unahusiana na mahali napotoka sababu napaelewa vizuri ila hiyo signature kiukweli hawa dada zetu wanachohitaji ni kuwachukulia kama walivyo ila ukisema ujitahidi kuwaelewa utapasua kichwa chako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…