Nyamesocho
JF-Expert Member
- May 5, 2023
- 487
- 1,287
Kuna watu wanakupigia simu eitha uwape namba ya dreva tax,bodaboda wakiomba huduma eneo fulani au Kama una namba zao uwapigie waende walipo hasa maeneo yanayotajwa ni yale wanayojua ulipo hayawezi kukosa,makanisa,shule,stendi,kiwanja cha mpira au soko
Ukimwambia bodaboda au dreva tax nenda sehemu fulani kuna mteja akifika eneo tajwa hakuna mtu na namba haipatikani,inabidi anarudi anakwambia huyo mtu hayupo na kama sehemu ni ya mbali anadai umpe nauli ya usumbufu au anampigia dreva au bodaboda njoo sehemu fulani unichukue akifika hakuti mtu au
Anakuomba umwambie bodaboda au dreva tax anunue kitu fulani aende nacho akifika atampa hela yake na nauli,ukinunua akaenda nacho hakuti mtu na simu haipatikani
Je umewahi kukutwa na kisa hiki ?
Hawa watu wamekosa kazi ya kufanya au wanataka nini?
Ukimwambia bodaboda au dreva tax nenda sehemu fulani kuna mteja akifika eneo tajwa hakuna mtu na namba haipatikani,inabidi anarudi anakwambia huyo mtu hayupo na kama sehemu ni ya mbali anadai umpe nauli ya usumbufu au anampigia dreva au bodaboda njoo sehemu fulani unichukue akifika hakuti mtu au
Anakuomba umwambie bodaboda au dreva tax anunue kitu fulani aende nacho akifika atampa hela yake na nauli,ukinunua akaenda nacho hakuti mtu na simu haipatikani
Je umewahi kukutwa na kisa hiki ?
Hawa watu wamekosa kazi ya kufanya au wanataka nini?