Huu ni aina ya utapeli au ni watu wamekosa kazi ya kufanya na wanaofanya haya wanataka nini? Labda kutaka kukukomoa sijui!

Huu ni aina ya utapeli au ni watu wamekosa kazi ya kufanya na wanaofanya haya wanataka nini? Labda kutaka kukukomoa sijui!

Nyamesocho

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2023
Posts
487
Reaction score
1,287
Kuna watu wanakupigia simu eitha uwape namba ya dreva tax,bodaboda wakiomba huduma eneo fulani au Kama una namba zao uwapigie waende walipo hasa maeneo yanayotajwa ni yale wanayojua ulipo hayawezi kukosa,makanisa,shule,stendi,kiwanja cha mpira au soko

Ukimwambia bodaboda au dreva tax nenda sehemu fulani kuna mteja akifika eneo tajwa hakuna mtu na namba haipatikani,inabidi anarudi anakwambia huyo mtu hayupo na kama sehemu ni ya mbali anadai umpe nauli ya usumbufu au anampigia dreva au bodaboda njoo sehemu fulani unichukue akifika hakuti mtu au

Anakuomba umwambie bodaboda au dreva tax anunue kitu fulani aende nacho akifika atampa hela yake na nauli,ukinunua akaenda nacho hakuti mtu na simu haipatikani

Je umewahi kukutwa na kisa hiki ?

Hawa watu wamekosa kazi ya kufanya au wanataka nini?
 
Kuna watu wanakupigia simu eitha uwape namba ya dreva tax,bodaboda wakiomba huduma eneo fulani au Kama una namba zao uwapigie waende walipo hasa maeneo yanayotajwa ni yale wanayojua ulipo hayawezi kukosa,makanisa,shule,stendi,kiwanja cha mpira au soko

Ukimwambia bodaboda au dreva tax nenda sehemu fulani kuna mteja akifika eneo tajwa hakuna mtu na namba haipatikani,inabidi anarudi anakwambia huyo mtu hayupo na kama sehemu ni ya mbali anadai umpe nauli ya usumbufu au anampigia dreva au bodaboda njoo sehemu fulani unichukue akifika hakuti mtu au

Anakuomba umwambie bodaboda au dreva tax anunue kitu fulani aende nacho akifika atampa hela yake na nauli,ukinunua akaenda nacho hakuti mtu na simu haipatikani

Je umewahi kukutwa na kisa hiki ?

Hawa watu wamekosa kazi ya kufanya au wanataka nini?
Ilikuta aiseez nimenunulishwa mchele na mafuta pasiko kutarajia, aisee iliniuma mno!
 
Hao jamaa lengo ni kumtapeli dereva bodaboda, wanamwambia aje na vitu flan kisha wanamuongezea na issue ya kupita kibanda cha mpesa awatumie kiasi cha pesa. Hapo ndio boda hua wanapigwa
 
Kuna watu wanakupigia simu eitha uwape namba ya dreva tax,bodaboda wakiomba huduma eneo fulani au Kama una namba zao uwapigie waende walipo hasa maeneo yanayotajwa ni yale wanayojua ulipo hayawezi kukosa,makanisa,shule,stendi,kiwanja cha mpira au soko

Ukimwambia bodaboda au dreva tax nenda sehemu fulani kuna mteja akifika eneo tajwa hakuna mtu na namba haipatikani,inabidi anarudi anakwambia huyo mtu hayupo na kama sehemu ni ya mbali anadai umpe nauli ya usumbufu au anampigia dreva au bodaboda njoo sehemu fulani unichukue akifika hakuti mtu au

Anakuomba umwambie bodaboda au dreva tax anunue kitu fulani aende nacho akifika atampa hela yake na nauli,ukinunua akaenda nacho hakuti mtu na simu haipatikani

Je umewahi kukutwa na kisa hiki ?

Hawa watu wamekosa kazi ya kufanya au wanataka nini?
Watu wamechacha.Hawana mafaranga.Have got no penny.Apeche alolo.Wapo hoi bin taabanuna.Dhooful-hal.Yaani wamechanganyikiwa.Wasamehe na uwajibu kwa upole na busara.
 
Hao jamaa lengo ni kumtapeli dereva bodaboda, wanamwambia aje na vitu flan kisha wanamuongezea na issue ya kupita kibanda cha mpesa awatumie kiasi cha pesa. Hapo ndio boda hua wanapigwa
Kumbeee!!;
 
Back
Top Bottom