Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha tuone izo chuki km zitatatua haya matatizo yanayojitokeza sasaUtaambiwa mgao aliuleta mwendazake!
Hawataki kutangaza ila naamini kuna mgao, umeme umekatika tangu asubuhi ndio umerudishwa sasa hivi, kama ni hujuma za makusudi walaaniwe wote wanaofanya huu mchezo wa kihuni, wapo wanaojitafutia riziki zao kwa kutumia umeme wanapowakatia bila taarifa siku nzima wanataka wakale wapi?
Sasa hivi hilo neno limeanza kufifia taaratibu maana uzuri wa msoto wa style hii tunaumia wote bila kujali itikadi na unazi ndezi…Watu wakilalamikia matatizo ambayo tulishayasahau wanaitwa sukuma gang, Yan sijui kuna kikundi cha watu kimeundwa kwenye mitandao kusifia tu!
Mkuu hebu acha utani kwenye mambo ya msingi!!. Hili ni shirika la umma linaloendeshwa kwa kodi za wananchi. Kama unaona ni heri kwa kila mtu kununua generator yake, basi hakuna sababu ya kuwa na shirika linaloitwa Tanesco. Naamini una uwezo wa kuliona hili na bila shaka kuelewa ni kwa nini nalalamika kwenye Forum hii.Kwan huna jenereta unakaa kulalama hpa JF!
Kuna kipindi tumeuliza humu kuwa kipindi cha Magufuri mbona hayakutokea haya na tulipitia kipindi cha ukame?wakajibu Magufuri alibebwa na umeme wa gesi aliotuachia Kikwete, sasahivi sijui Magufuri kafa na gesi;Kuna watu hawataki kukili kuwa Magufuri alikuwa habari nyingine,hapa vichwa vingeliisha liwa,kwanza wasingelisubutu kufanya huu mchezo,hii ni biashara ya rafiki zake Makamba,ili kuuza majenereta yaliododa kwa miaka 5,kuhujumu Bwawa la lufiji.Mi nahisi ni maji hakuna,maana visima navyo vimekauka maji hakuna.Tutubu Yesu u karibu wajamen( )
Kuna tatizo kubwa la hata upinzani ku invest kukosoa matunda ya Magu. Ndiyo mana weakness za serikali ya sasa wanazitafutia sababu. Kwao legacy ya Magu ndiyo tishio la kukubaliwa kwao kuliko hata Presidaa anayetawala.Watu wakilalamikia matatizo ambayo tulishayasahau wanaitwa sukuma gang, Yan sijui kuna kikundi cha watu kimeundwa kwenye mitandao kusifia tu!
Mama hana mpango wakusoma maoni ya wananchiDar es salaam hakuna umeme maeneo ya Chanika tangu jana na leo siku nzima hakukuwepo umeme hadi hivi niandikapo.
Je, ni halali Tanesco kupokea pesa kutoka kwa wateja wake halafu wagome kutoa huduma?
Je kama Kuna matatizo ya kiufundi hivi si busara kuwataarifu wateja wanaotegemea umeme wa Tanesco kuendesha biashara zao juu ya katizo la umeme ?
Je tujipange sasa kutegemea umeme wa gesi kama alivyolisha matango pori na Waziri wa nishati?
Du ... Maswali ni mengi tu, Ila giza totoro kama enzi za ujima wakati Chief Hangaya akiendelea kupinga mwingi.
Leo mrs residentura kafurahi sana kwani imenibidi ninywee VAT 69 yangu home,maana Bar ninapokunywa hawakuwa na "ice cubes".Mbaya zaidi beer baridi hamna kabisa na hili joto Ilikuwa beer. Moto unaarisha sana