Mookiesbad98
JF-Expert Member
- Feb 1, 2015
- 2,805
- 3,640
Tunahitaji majibu yanayoeleweka kama kuna ukame, maji hakuna ya kuendesha mitambo inayozalisha umeme au ni sarakasi za kiutendaji. Mh Makamba tafadhali njoo na taarifa kamili.
Hali hii ya joto bila umeme wala maji mtaleta magonjwa ya mlipuko na ustaarabu wetu sisi waswahili huwa unaishia kuvaa nguo na si vyooni.
Hivi Bi mkubwa Kashaenda Afdb Abidjan au Johansburg kwenye mkutano wa wawekezaji. Maana angekuwa mwendazake saa hizi tungesikia jipu la nishati limeshatumbuliwa na ameshatoa maelezao ya kutosha tuu. This is very unacceptable wakubwa msikae kwenye ma air conditioned offices mkatulia huku wananchi tunataabika.
Hali hii ya joto bila umeme wala maji mtaleta magonjwa ya mlipuko na ustaarabu wetu sisi waswahili huwa unaishia kuvaa nguo na si vyooni.
Hivi Bi mkubwa Kashaenda Afdb Abidjan au Johansburg kwenye mkutano wa wawekezaji. Maana angekuwa mwendazake saa hizi tungesikia jipu la nishati limeshatumbuliwa na ameshatoa maelezao ya kutosha tuu. This is very unacceptable wakubwa msikae kwenye ma air conditioned offices mkatulia huku wananchi tunataabika.