Mookiesbad98
JF-Expert Member
- Feb 1, 2015
- 2,805
- 3,640
Safi sanaArusha giza tororo....
Norway wanatumia sana umeme wa maji pamoja na kuwa na hazina kubwa ya mafuta na gesi asilia. Mbona tunataka kulishana matango pori, vipi? Kinachoendelea huko ni dhana ya energy mix. Kwa kuwa uchumi wetu bado mdogo, ni vizuri kwenda hatua moja baada ya nyingine vinginevyo " mtaka vyote kwa pupa..... "Dunia nzima inasema.maji ya mwenyezi Mungu tuliyopewa bure tuyatunze .... hili nakubali kwa mto Ruvu.
Haya mto Ruvu kau, maji dar mgawo...hivi sasa tupo Rufiji tunahangaika na technologia ya mwaka 1900 ya kuzalisha umeme kwa kutumia maji wakati tuna gesi na urani kibao.
CCM mawazo yake huwa ni backwards..
Lile dude nalo limekalia kulembua tu utafikri limewekewamo! Kazi kweli kweli!Mkuu hizi ni hujuma...
Ni hujuma tuu..
Na makamba ameletwa hapo kimkakati.
Subiri.. Tutaelewana baadayee..
Mkuu, hata kwa hili humkumbuki JPM aliposema mtamkumbuka kwa mema?Hawataki kutangaza ila naamini kuna mgao, umeme umekatika tangu asubuhi ndio umerudishwa sasa hivi, kama ni hujuma za makusudi walaaniwe wote wanaofanya huu mchezo wa kihuni, wapo wanaojitafutia riziki zao kwa kutumia umeme wanapowakatia bila taarifa siku nzima wanataka wakale wapi?
tupo tunafanya maintanance tulieni. 😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳Dar es salaam hakuna umeme maeneo ya Chanika tangu jana na leo siku nzima hakukuwepo umeme hadi hivi niandikapo.
Je, ni halali Tanesco kupokea pesa kutoka kwa wateja wake halafu wagome kutoa huduma?
Je kama Kuna matatizo ya kiufundi hivi si busara kuwataarifu wateja wanaotegemea umeme wa Tanesco kuendesha biashara zao juu ya katizo la umeme ?
Je tujipange sasa kutegemea umeme wa gesi kama alivyolisha matango pori na Waziri wa nishati?
Du ... Maswali ni mengi tu, Ila giza totoro kama enzi za ujima wakati Chief Hangaya akiendelea kupinga mwingi.
Huwezi kutegemea umeme wa gesi pekee tunahitaji energy mix iwapo kuna nia njema ya kutatua matatizo ya nchi hii vinginevyo ni hujuma tu zinafanyika kwa sasa. Serikali ifuatilie kwa karibu na waziri awjibike haraka na bodi yake. Uchumi utaanguka haraka sana. Kalemani arudishwe kurekebisha mambo.Dar es salaam hakuna umeme maeneo ya Chanika tangu jana na leo siku nzima hakukuwepo umeme hadi hivi niandikapo.
Je, ni halali Tanesco kupokea pesa kutoka kwa wateja wake halafu wagome kutoa huduma?
Je kama Kuna matatizo ya kiufundi hivi si busara kuwataarifu wateja wanaotegemea umeme wa Tanesco kuendesha biashara zao juu ya katizo la umeme ?
Je tujipange sasa kutegemea umeme wa gesi kama alivyolisha matango pori na Waziri wa nishati?
Du ... Maswali ni mengi tu, Ila giza totoro kama enzi za ujima wakati Chief Hangaya akiendelea kupinga mwingi.
Siyo wote wana uwezo wa generator. Poor opinion.Wanasema hakuna shida ya maji wala umeme ,ukiwa na hela hauwezi kufeel kama kuna mgao wa maji wala umeme.
Umeset Generator Auto Mode kwenye ChangeOverSwitch -Umeme ukikatika Generator inapick load then Una reservoir yenye capacity ya litre elfu 50 sasa sijui kama utafeel migao yao.
Wengine wanasema vijana wa Kalemani ndiyo wanafanya hiyo hujuma kumkomoa Makamba. Hii vita ya madaraka huko CCM inatuumiza sisi walipa tozo,hakika wapiganapo tembo ziumiazo nyasiMkuu hizi ni hujuma...
Ni hujuma tuu..
Na makamba ameletwa hapo kimkakati.
Subiri.. Tutaelewana baadayee..
Ni zamu yetu Wazanzibari,vichogo wacheni noma zenuMbona umeme wa Zanzibar haukatiki kwani hautoki bara?
Kumkumbuka Jpm itasaidia kupunguza tatizo la mgao wa umeme.?!Mkuu, hata kwa hili humkumbuki JPM aliposema mtamkumbuka kwa mema?
Hao ni dizaini ya watu ambao wako radhi wakose umeme na kutoa visingizio vyote vya uongo na kweli kuliko kumpa credits zake JPM kwa kutusahaulisha mgao kwa miaka 6 yake ya uongoziMkuu, hata kwa hili humkumbuki JPM aliposema mtamkumbuka kwa mema?
Mkuu si mbeya tu hata Arusha hali ni hiyo hiyo maji saivi mwezi hayatokiMbeya si umeme tu mpaka maji tulisahau mara ya mwisho kutoka
Watu wa JF mmekosa ndege tuu kila kitu mnacho...Kwan huna jenereta unakaa kulalama hpa JF!