Cloud Computing
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 334
- 85
Inawezekana kufanya mengi ya hayo, ila suala la kumpa hela mtu muhitaji hilo siliwezi kabisa. Yani i have it in me, nimeshindwa kabisa kuacha suala la kumpa mtu pesa hata kama najiumiza mimi, sometimes nahisi labda nipo hivyo ili wengine waishi.