Huu ni mwaka 2019, Hamisa Mobeto ana miaka 24, Wema Sepetu miaka 28

Huu ni mwaka 2019, Hamisa Mobeto ana miaka 24, Wema Sepetu miaka 28

The Assassin

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2018
Posts
4,942
Reaction score
20,077
Habari ya jumapili, wale mnaenda kusali ibada njema.

Miaka inaongezeka miaka inabadilika ila sio umri wa wasanii wetu.

Huu ni mwaka 2019, wema sepetu ana miaka 28, Hamisa ana miaka 24 ingawa mwaka juzi alidai alianza kutoka na Diamond akiwa na miaka 14, yaani alupomaliza tu la saba akaanza kula uroda na Diamond.

Wema yeye mwaka 2006 aliukwaa umisi Tanzania, sheria za umisi ni uwe na miaka 18 hadi 22, ukichukulia mwaka 2006 alikua na miaka 19, jumlisha 13 hadi 2019 ni miaka 32, ila yeye anadai ana 28, nimesoma hesabu ila hizi za wema ni hesabu mpya kwenye maisha yangu, labda watoto wetu watakuja kuzisoma.

Wasanii wa bongo kila mwaka ni besidei ila hawasemi ni miaka mingapi, Lady JD kila mwaka anafanya besidei ula hasemi miaka yake ingawa waliosoma nae darasa moja wako kwenye early 50s na wengina late 40s. Umri kwa wasanii wa bongo ni kama dhambi, hawataki ijulikane.

Irene uwoya kila mwaka ni besidei ila kwa miaka isiyojulikama, unasikia tu ametimiza miaka kadhaa. Juzi nimesikia bondia Dulla Mbabe ana miaka 21, nilihisi kufa, Diamond yeye kila mwaka ana miaka 28.

Ukienda kwenye mpira ndio balaa, unakuta mchezaji ana mdogo wake wa kiume, huyo mdogo wake ana mtoto wa miaka 15, chukulia huyo mdogo wa mchezaji alipata mtoto akiwa na miaka 15 au 16 ila kaka yake ambae ni mchezaji yeye ana miaka 23, yaani kumbe Tanzania inawezekana kabisa mtu kumzaa kaka yake aliemtangulia kuzaliwa.

Karibuni tunywe chai.
 
Habari ya jumapili, wale mnaenda kusali ibada njema.

Miaka inaongezeka miaka inabadilika ila sio umri wa wasanii wetu.

Huu ni mwaka 2019, wema sepetu ana miaka 28, Hamisa ana miaka 24 ingawa mwaka juzi alidai alianza kutoka na Diamond akiwa na miaka 14, yaani alupomaliza tu la saba akaanza kula uroda na Diamond.

Wema yeye mwaka 2006 aliukwaa umisi Tanzania, sheria za umisi ni uwe na miaka 18 hadi 22, ukichukulia mwaka 2006 alikua na miaka 19, jumlisha 13 hadi 2019 ni miaka 32, ila yeye anadai ana 28, nimesoma hesabu ila hizi za wema ni hesabu mpya kwenye maisha yangu, labda watoto wetu watakuja kuzisoma.

Wasanii wa bongo kila mwaka ni besidei ila hawasemi ni miaka mingapi, Lady JD kila mwaka anafanya besidei ula hasemi miaka yake ingawa waliosoma nae darasa moja wako kwenye early 50s na wengina late 40s. Umri kwa wasanii wa bongo ni kama dhambi, hawataki ijulikane.

Irene uwoya kila mwaka ni besidei ila kwa miaka isiyojulikama, unasikia tu ametimiza miaka kadhaa. Juzi nimesikia bondia Dulla Mbabe ana miaka 21, nilihisi kufa, Diamond yeye kila mwaka ana miaka 28.

Ukienda kwenye mpira ndio balaa, unakuta mchezaji ana mdogo wake wa kiume, huyo mdogo wake ana mtoto wa miaka 15, chukulia huyo mdogo wa mchezaji alipata mtoto akiwa na miaka 15 au 16 ila kaka yake ambae ni mchezaji yeye ana miaka 23, yaani kumbe Tanzania inawezekana kabisa mtu kumzaa kaka yake aliemtangulia kuzaliwa.

Karibuni tunywe chai.
Mkuu, uwe muelewa. Kalenda anayotumia Wema ni tofauti na utumiayo weye. Kalenda yake ina siku 521 na robo! Kwanza kajiongezea mno.Kama akiamua kuifuata kalenda yake bado ni mtoto mbichi kuliko embe sindano.
 
Habari ya jumapili, wale mnaenda kusali ibada njema.

Miaka inaongezeka miaka inabadilika ila sio umri wa wasanii wetu.

Huu ni mwaka 2019, wema sepetu ana miaka 28, Hamisa ana miaka 24 ingawa mwaka juzi alidai alianza kutoka na Diamond akiwa na miaka 14, yaani alupomaliza tu la saba akaanza kula uroda na Diamond.

Wema yeye mwaka 2006 aliukwaa umisi Tanzania, sheria za umisi ni uwe na miaka 18 hadi 22, ukichukulia mwaka 2006 alikua na miaka 19, jumlisha 13 hadi 2019 ni miaka 32, ila yeye anadai ana 28, nimesoma hesabu ila hizi za wema ni hesabu mpya kwenye maisha yangu, labda watoto wetu watakuja kuzisoma.

Wasanii wa bongo kila mwaka ni besidei ila hawasemi ni miaka mingapi, Lady JD kila mwaka anafanya besidei ula hasemi miaka yake ingawa waliosoma nae darasa moja wako kwenye early 50s na wengina late 40s. Umri kwa wasanii wa bongo ni kama dhambi, hawataki ijulikane.

Irene uwoya kila mwaka ni besidei ila kwa miaka isiyojulikama, unasikia tu ametimiza miaka kadhaa. Juzi nimesikia bondia Dulla Mbabe ana miaka 21, nilihisi kufa, Diamond yeye kila mwaka ana miaka 28.

Ukienda kwenye mpira ndio balaa, unakuta mchezaji ana mdogo wake wa kiume, huyo mdogo wake ana mtoto wa miaka 15, chukulia huyo mdogo wa mchezaji alipata mtoto akiwa na miaka 15 au 16 ila kaka yake ambae ni mchezaji yeye ana miaka 23, yaani kumbe Tanzania inawezekana kabisa mtu kumzaa kaka yake aliemtangulia kuzaliwa.

Karibuni tunywe chai.
Mkuu umenivunja mbavu
 
Hahahahahahahahahahaha
Habari ya jumapili, wale mnaenda kusali ibada njema.

Miaka inaongezeka miaka inabadilika ila sio umri wa wasanii wetu.

Huu ni mwaka 2019, wema sepetu ana miaka 28, Hamisa ana miaka 24 ingawa mwaka juzi alidai alianza kutoka na Diamond akiwa na miaka 14, yaani alupomaliza tu la saba akaanza kula uroda na Diamond.

Wema yeye mwaka 2006 aliukwaa umisi Tanzania, sheria za umisi ni uwe na miaka 18 hadi 22, ukichukulia mwaka 2006 alikua na miaka 19, jumlisha 13 hadi 2019 ni miaka 32, ila yeye anadai ana 28, nimesoma hesabu ila hizi za wema ni hesabu mpya kwenye maisha yangu, labda watoto wetu watakuja kuzisoma.

Wasanii wa bongo kila mwaka ni besidei ila hawasemi ni miaka mingapi, Lady JD kila mwaka anafanya besidei ula hasemi miaka yake ingawa waliosoma nae darasa moja wako kwenye early 50s na wengina late 40s. Umri kwa wasanii wa bongo ni kama dhambi, hawataki ijulikane.

Irene uwoya kila mwaka ni besidei ila kwa miaka isiyojulikama, unasikia tu ametimiza miaka kadhaa. Juzi nimesikia bondia Dulla Mbabe ana miaka 21, nilihisi kufa, Diamond yeye kila mwaka ana miaka 28.

Ukienda kwenye mpira ndio balaa, unakuta mchezaji ana mdogo wake wa kiume, huyo mdogo wake ana mtoto wa miaka 15, chukulia huyo mdogo wa mchezaji alipata mtoto akiwa na miaka 15 au 16 ila kaka yake ambae ni mchezaji yeye ana miaka 23, yaani kumbe Tanzania inawezekana kabisa mtu kumzaa kaka yake aliemtangulia kuzaliwa.

Karibuni tunywe chai.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari ya jumapili, wale mnaenda kusali ibada njema.

Miaka inaongezeka miaka inabadilika ila sio umri wa wasanii wetu.

Huu ni mwaka 2019, wema sepetu ana miaka 28, Hamisa ana miaka 24 ingawa mwaka juzi alidai alianza kutoka na Diamond akiwa na miaka 14, yaani alupomaliza tu la saba akaanza kula uroda na Diamond.

Wema yeye mwaka 2006 aliukwaa umisi Tanzania, sheria za umisi ni uwe na miaka 18 hadi 22, ukichukulia mwaka 2006 alikua na miaka 19, jumlisha 13 hadi 2019 ni miaka 32, ila yeye anadai ana 28, nimesoma hesabu ila hizi za wema ni hesabu mpya kwenye maisha yangu, labda watoto wetu watakuja kuzisoma.

Wasanii wa bongo kila mwaka ni besidei ila hawasemi ni miaka mingapi, Lady JD kila mwaka anafanya besidei ula hasemi miaka yake ingawa waliosoma nae darasa moja wako kwenye early 50s na wengina late 40s. Umri kwa wasanii wa bongo ni kama dhambi, hawataki ijulikane.

Irene uwoya kila mwaka ni besidei ila kwa miaka isiyojulikama, unasikia tu ametimiza miaka kadhaa. Juzi nimesikia bondia Dulla Mbabe ana miaka 21, nilihisi kufa, Diamond yeye kila mwaka ana miaka 28.

Ukienda kwenye mpira ndio balaa, unakuta mchezaji ana mdogo wake wa kiume, huyo mdogo wake ana mtoto wa miaka 15, chukulia huyo mdogo wa mchezaji alipata mtoto akiwa na miaka 15 au 16 ila kaka yake ambae ni mchezaji yeye ana miaka 23, yaani kumbe Tanzania inawezekana kabisa mtu kumzaa kaka yake aliemtangulia kuzaliwa.

Karibuni tunywe chai.
 
Back
Top Bottom