Huu ni mwaka 2019, Hamisa Mobeto ana miaka 24, Wema Sepetu miaka 28

Naaaam maneno kuntu haya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mademu wengi wakifikisha miaka 26 ya umri wanajaa hofu na suluhisho kwao ni kusimamisha miaka kohkojkohkohkohkohkoh
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndani ya bongo mambo super spot hapana matata, bitoz nyangema anataka aitwe tupac, huwez tofautisha yupi wa geti kali na yupi wa kigogo woote wanameremeta utafkiri ni chato mwanangu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nsajigwa wa yanga ana miaka 22.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hawa labda tuwaanzishie mamlaka yao ambayo itakuwa inatoa umri *elekezi "kwa wasanii kwa sababu hawako tayari miaka yao kamili ijulikane,

Kwa hiyo mamla hiyo itoe miaka kwa range eg, wema umri wake ni kati ya 22 - 32 .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hali hii ndiyo mana Tanzania watu wake ni masikini
 
Wasanii wa show-off wengi akili zao zimeganda!! Hauwezi kuwakuta wasanii wanaojielewa wakadanganya miaka!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…