Huu ni mwaka 2019, Hamisa Mobeto ana miaka 24, Wema Sepetu miaka 28

Hahahahahaha Hapo Kwenye Mpira Umeniacha Hoi Nko Hapa Namfikiria Medie Kagere Na Ule Ukomavu Wake
 
Kwa hiyo alishiriki miss Tanzania akiwa na miaka 17 ....ambalo ni kosa kisheria
According to wema mwenyewe amezaliwa 1988. Mwaka jana ametimiza miaka 30 mwaka huu atatimiza 31. Mwaka 2006 alikua na 18
 
Kwani PAPUCHI nayo inazeeka?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo liko wapi sasa. Mimi toka nitimize 18 miaka kadhaa iliyopita umri wangu haujawahi kuongezeka ingawa kila January nasherehekea siku yangu ya kuzaliwa kwani hujawaji kusikia utoto raha.
 
Okwi hapungui miaka 38.

Kaseja yeye kila mwaka alikua anasema ana miama 22.

Kwenye mpira ni balaa.
Duuuuu hatari juma kaseja namsikia mimi niko primary anacheza mpira.Leo hiii nimeshampita kwelii huko mpirani kuna balaa wallah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…