1. Simba Tangu AMEUMIA Manura na kakolanya miezi karibu 6 hawana Golikipa No 1 Wala No 2.
2. Walishindwa KUMSAJILI YAHAYA mbegu Kumchallange shabalala kwenye No 3.
3. Wameshindwa KUSAJILI Beki wa maana Kumchallange Inonga na MAlone.
4. Hawana kiungo NO 6 MKABAJI.
5. Hawana MSHAMBULIAJI WA kumchallange Baleke.
BADALA YAKE WAMEJAZA MAWINGA 10.
HUU NI UMBUMBUMBU.