Huu ni mwaka wa mafanikio kwa simba sc kama viongozi hawatozubaa

1. Simba Tangu AMEUMIA Manura na kakolanya miezi karibu 6 hawana Golikipa No 1 Wala No 2.

2. Walishindwa KUMSAJILI YAHAYA mbegu Kumchallange shabalala kwenye No 3.

3. Wameshindwa KUSAJILI Beki wa maana Kumchallange Inonga na MAlone.

4. Hawana kiungo NO 6 MKABAJI.

5. Hawana MSHAMBULIAJI WA kumchallange Baleke.

BADALA YAKE WAMEJAZA MAWINGA 10.
HUU NI UMBUMBUMBU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…