Heshima kwenu waungana,
Jaman mwenzenu nina tatizo maana mke wangu anataka kuondoka endapo mwez huu hatapata ujauzito maana limekuwa ni ombi lake la muda mrefu,ni kwamba mimi na yeye haituishi pamoja sababu ya majukum ya kikaz hvyo tuna siku maalum tu za kukutana,sasa naomba ushaur lini ni siku nzuri ya kumpa mimba endapo:
Mwez wa1 aliona hedhi tarehe 20
Mwezi wa pili tarh 19,mnishaur lini nkakutane nae kutimiza lengo letu la kupata mimba?
Jaman mwenzenu nina tatizo maana mke wangu anataka kuondoka endapo mwez huu hatapata ujauzito maana limekuwa ni ombi lake la muda mrefu,ni kwamba mimi na yeye haituishi pamoja sababu ya majukum ya kikaz hvyo tuna siku maalum tu za kukutana,sasa naomba ushaur lini ni siku nzuri ya kumpa mimba endapo:
Mwez wa1 aliona hedhi tarehe 20
Mwezi wa pili tarh 19,mnishaur lini nkakutane nae kutimiza lengo letu la kupata mimba?