Huu ni uchambuzi wa michezo au uchawi na husda?

Huu ni uchambuzi wa michezo au uchawi na husda?

Wachezaji wa Platnum walishuka kwenye basi kupitia madirishani, iliwasaidia nini?
 
Aliyejifanya mchawi ni shabiki wa Utopolo alilipwa kuja kuiharibia Simba huyu hapa.
FB_IMG_1610278902500.jpg
 
Aibu kubwa anatupa yanga. Since 1998 makund duuh
Wewe kufika huko mbele imekusaidia Nini? Kwenye mpira Ndio Ndio inaheshimika na sio kusema nimefulia nusu fainali mara 15 halafu haijawahi hata fila fainali.

Ni ukweli usiopingika kuwa Simba na Tanga zinatumia uchawi na Uganda, kwanza hizo Ndio falsafa za kiafrika kwa hiyo usimmaindi kitenge sana
 
Haya ngoja tuwaongezee wachambuzi njaa
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Hivi Mbona hakuna nchi Africa imewahi kuchukua kombe la dunia au kufika fainali kama uchawi ndio unacheza mpira?
Hapa ndio mie nashindwa kuelewa. Alafu hatupagiwi majibu sijui kwa nini? Au wadhungu uganga wao ni wa level nyingine kabisa tunaushindwa
 
Back
Top Bottom