Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
- Thread starter
-
- #41
Mimi nikiwa sina hela atleast kiasi fulani sitoki kwenda maeneo ya kula bata maana unaweza toka na mtu akishalewa anabadilika, kama huna akiba yako utaaibika bure na hata kama unayo tayari inavuruga bajeti yako.Unatokaje na Huna hata Mia aisee, nguvu hiyo unaitoa wapi?!
Hii imekaa poa ila inategemea pia na mtu ulie nae japo kumuamini binadam ni kazi.kama sina hela ya pemben, nitatafuta sabab ya kutoonana na mwenzangu adi aelewe,inaepusha aibu ndogo ndogo kam izo.
๐ uende Hyatt, sea cliff, rotana, aya sophia aagize ugali tembele anaokula buza kila siku?Na ukiwashauri wawege wanaaagiza ugali na matembele wanakuona huna maana. Hao dawa yao ni kuwasugua mbususu tu
Hakika mkuu na hii mbegu ipandwe mapema vinginevyo akishakua kubadilika ni kazi.Duh ndio maana nashauri kwa wale wanaume wenye watoto wa kike, tuhakikishe binti zetu wanajiweza kiuchumi kupunga hizi fedheha.
๐ dah watu wanaiba kitaalam sanakuna jamaa mmoja alikua hana hela ya kunyoa ikabidi aingie mtaani akakutana na dogo anacheza cheza hawajuani akamwambia dogo twende tukanyoe akaenda nae saloon akaanza kunyoa yeye dogo yuko pembeni alivyomaliza akamwambia kinyozi amnyoe na dogo , wakati anamnyoa dogo jamaa akaondoka kinyozi akajua atamrudia dogo kumbe muhuni ndo kasepa.
Sana mkuu
๐๐akili mtu wangu,, kwenye kulazimishwa apo pia lazma ujifkirie nawew maana wanaume bwanaaaaa๐๐พ๐๐พHii imekaa poa ila inategemea pia na mtu ulie nae japo kumuamini binadam ni kazi.
Mwaka 2020 kuna dada alikuja na jamaa yake, dada alikuwa hatak kutoka ila jamaa akafosi mwisho wa siku kalewa kamaliza akiba yote na bill haijawa full paid, jamaa akazima hajielewi. Kuna jamaa alikuwa pembeni anausoma mchezo mwsho wa siku akaclear ile bili yote na akaondoka na yule dada, jamaa yake akalipiwa tax akiwa hoi akapelekwa nyumbani.
Ndio maana nikasema inategemea na mtu ulie nae.๐๐akili mtu wangu,, kwenye kulazimishwa apo pia lazma ujifkirie nawew maana wanaume bwanaaaaa๐๐พ๐๐พ
Habari picha inajielezaHivi mtu unatokaje huna hata mia? Aibu nyingine zinaepukika kuwa na akiba ya hela yako binafsi ni muhimu sana. Hii inawakumba sana Ke wengi.
Back up plan ni muhimu sana.
View attachment 2965962View attachment 2965963View attachment 2965964View attachment 2965965View attachment 2965967View attachment 2965968View attachment 2965970View attachment 2965971View attachment 2965973View attachment 2965975View attachment 2965976View attachment 2965977View attachment 2965979
ni kichwa maji pro max aseeee๐๐Ndio maana nikasema inategemea na mtu ulie nae.
Sasa unakuaje na kichwa maji? Au ndio ili mradi anapumua ๐ni kichwa maji pro max aseeee๐๐
Picha inafundisha.Habari picha inajieleza
mradi anapumua bwan ๐๐sasa tufanyeje tukiwaacha wanabaka mboga(kuku)Sasa unakuaje na kichwa maji? Au ndio ili mradi anapumua ๐
๐ mboga tena duhmradi anapumua bwan ๐๐sasa tufanyeje tukiwaacha wanabaka mboga(kuku)
Kama movie vile.Hivi mtu unatokaje huna hata mia? Aibu nyingine zinaepukika kuwa na akiba ya hela yako binafsi ni muhimu sana. Hii inawakumba sana Ke wengi.
Back up plan ni muhimu sana.
View attachment 2965962View attachment 2965963View attachment 2965964View attachment 2965965View attachment 2965967View attachment 2965968View attachment 2965970View attachment 2965971View attachment 2965973View attachment 2965975View attachment 2965976View attachment 2965977View attachment 2965979
sema umenshaur jambo,,yan nafanyia kaz sasaiv ๐๐๐ mboga tena duh
Usipende kwa kumuonea mtu huruma, ipo siku hiyo huruma itaisha.
Akienda Tigo Pesa je?Akipigiwa simu aongelee hapo hapo, kama hana vocha akanunuliwe.๐
Hahaha......ukiona yule demu anavyoagiza utadhani ana laki tano Mfukoni.Hii sasa ndio imekidhi viwango vya kuitwa HABARI KATIKA PICHA ๐๐
Usije ukampiga chini na alivyo bichwa maji atapasuka๐sema umenshaur jambo,,yan nafanyia kaz sasaiv ๐๐
akipasuka ayo maji mbon yataleta mafuriko๐๐na bichwa analoooUsije ukampiga chini na alivyo bichwa maji atapasuka๐