Huu ni ulimbukeni wa kupindukia

Huu ni ulimbukeni wa kupindukia

Siyo kweli kwamba nchi zote duniani wasomi hawatumii wasifu wa kitaaluma. Uingereza, marekani, Australia, ufaransa, nk wanatumia huo wasifu. Wajerumani ndiyo shida, maana wanatumia mtu akiwa prof. mwenye phd, halafu na ni md, ataanza kujitambulisha na prof, dr. dr fulan fulani. Siyo vibaya wenye phd au professor kujitambulisha kitaaluma.
Mkapa alitunukiwa U Dr akiwa bado Madarakani mbona hakutumia?
 
Ogopa tuna Import hadi Midori, tuna import leso za kufutia jasho, yaaani baada ya miaka 60 ya uhuru hatuna Techinolojia ya kuzalisha hata lesso za kufutia jasho , still kuna watu wana jiita Ma Dr, hii nchi ina upumbavu sana plus kujipendekeza kwingi sana
 
Dunia nzima, sidhani kama kuna nchi inatumia jina la 'Dkt, Dokta, Dr. Daktari, kama Tanzania! Tena pasi na udhibiti. Hii ni dalili ya 'Educational inferiority complex' (mfundo wa moyoni wa uduni wa taaluma) waliyo nayo hao wanaojiita hivyo, au wanaokubali kuitwa.

Maana ndani ya nyoyo zao wanaamini kuwa wao ni mapepe tu kielimu, na ili kuwa aminisha wengine kuwa wao pia ni wana 'taaluma' katika hilo wanalolifanya, basi huweka/huwekewa hicho kibwagizo.

Tuliishi na Kambarage hapa miaka nenda miaka rudi, kwa kweli wachache sana walijua alikuwa Dokta, tena wa kusoma, si wa 'kutuzwa'. Kila mtu alijua Kambarage ni msomi pale tu alipofungua mdomo kuzungumza, hakuhitajia kibwagizo cha "Daktari'. Hivyo ndivyo usomi unavyotakiwa.

Kwa kweli viongozi wengi duniani ni 'Madokta', ila hadi ufanye utafiti ndiyo utajua hivyo.
Xi Jinping wa China ni Dokta wa Sheria, Narendra Modi wa India ni Dokta wa Elimu, Angela Merkel aliyekuwa Chancellor wa Ujerumani ni Daktari wa Physics, halkadhalika Hassan Rohani wa Iran alikuwa Dokta wa Sheria.

Ukija Afrika: Rais Ameena Gurib wa Mauritius ni Dokta wa Organic Chemistry, Mulatu Teshone wa Ethiopia: Sheria, Alassane Watara wa Cote d'Ivoire: Uchumi, Peter Mutharika, Malawi: Sheria, Mfalme Hassan, Morocco: Sheria.......na hata jrani Wlliam Ruto wa Kenya, tena Udokta wake wa aina yake, Plants Ecology (Wajua hiyo?) lakni kamwe hajiwekei au kuwekewa.

Sasa ingia Tanzania! Ndiyo nikasema hii yaonesha 'Educational inferiority Complex' kwa wataalamu wa maradhi ya nafsi watakwambia!

Ni aibu kujiita Dokta katika nchi ambayo hatutengenezi hata shazia, umeme unakatika kutwa, tukitaka barabara twamwita uncle wetu Mchina! Wakati huo huo eti tuna Vyuo Vikuu vinavyototoa madaktari hata wa Nanotechnology, Biotechnology, Physics.... Ifike mahala tuone haya kuchekwa na walimwengu!

Tuacheni ushamba huu tukidhani kuwa ni 'ujanja' mwingine kutoka Tanzania. La, ni ujinga!
Mkuu...

Hongera..
 
Nchi tumewekeza kwenye kujipendekeza sana, yaani the only way ya watu ku survive nchi hii ni wao kujipendekeza, hatuwezi survive kwa kutumia akili zetu bali kwa kuabudu na kusifu
Aisee
 
Wangebakia wale wa PhD za kusomea wabaki na hizo title, zile za kupewa waitwe kwa majina yao tu, hizi digrii za kumuagiza mkuu wa chuo akupe ili abaki kwenye huo uteuzi ni kuidhalilidha nchi na hata we mwenyewe, sijui hawaoni aibu!!!
 
Unayeweza kumwita "Dr" fulani hapa Tanzania kwa jinsi alivyo na maarifa na ufahamu wa juu sana ni Tundu Lissu pekee...

Huyu jamaa hata kama tukimwita Dr Tundu Lissu, honestly the guy deserves it kwa sababu kilicho kwenye kichwa chake na anapokitoa hususani ktk nyanja ya sheria, anastahili kuitwa Dr Tundu Lissu...

Lakini cha ajabu, ukijaribu tu kumwita hivyo, atakutoa baru kama hakujui vile maana hapendi kabisa sifa za kujinga..

Kwa kweli nam - admire sana mtu huyu...
 
Haa haha eti huku tuna Dr Samia Suluhu kwa sababu alizindua daraja la bilioni 7 huko Kibiti...!
 
Dunia nzima, sidhani kama kuna nchi inatumia jina la 'Dkt, Dokta, Dr. Daktari, kama Tanzania! Tena pasi na udhibiti. Hii ni dalili ya 'Educational inferiority complex' (mfundo wa moyoni wa uduni wa taaluma) waliyo nayo hao wanaojiita hivyo, au wanaokubali kuitwa.

Maana ndani ya nyoyo zao wanaamini kuwa wao ni mapepe tu kielimu, na ili kuwa aminisha wengine kuwa wao pia ni wana 'taaluma' katika hilo wanalolifanya, basi huweka/huwekewa hicho kibwagizo.

Tuliishi na Kambarage hapa miaka nenda miaka rudi, kwa kweli wachache sana walijua alikuwa Dokta, tena wa kusoma, si wa 'kutuzwa'. Kila mtu alijua Kambarage ni msomi pale tu alipofungua mdomo kuzungumza, hakuhitajia kibwagizo cha "Daktari'. Hivyo ndivyo usomi unavyotakiwa.

Kwa kweli viongozi wengi duniani ni 'Madokta', ila hadi ufanye utafiti ndiyo utajua hivyo.
Xi Jinping wa China ni Dokta wa Sheria, Narendra Modi wa India ni Dokta wa Elimu, Angela Merkel aliyekuwa Chancellor wa Ujerumani ni Daktari wa Physics, halkadhalika Hassan Rohani wa Iran alikuwa Dokta wa Sheria.

Ukija Afrika: Rais Ameena Gurib wa Mauritius ni Dokta wa Organic Chemistry, Mulatu Teshone wa Ethiopia: Sheria, Alassane Watara wa Cote d'Ivoire: Uchumi, Peter Mutharika, Malawi: Sheria, Mfalme Hassan, Morocco: Sheria.......na hata jrani Wlliam Ruto wa Kenya, tena Udokta wake wa aina yake, Plants Ecology (Wajua hiyo?) lakni kamwe hajiwekei au kuwekewa.

Sasa ingia Tanzania! Ndiyo nikasema hii yaonesha 'Educational inferiority Complex' kwa wataalamu wa maradhi ya nafsi watakwambia!

Ni aibu kujiita Dokta katika nchi ambayo hatutengenezi hata shazia, umeme unakatika kutwa, tukitaka barabara twamwita uncle wetu Mchina! Wakati huo huo eti tuna Vyuo Vikuu vinavyototoa madaktari hata wa Nanotechnology, Biotechnology, Physics.... Ifike mahala tuone haya kuchekwa na walimwengu!

Tuacheni ushamba huu tukidhani kuwa ni 'ujanja' mwingine kutoka Tanzania. La, ni ujinga!
Dr Biden , Dr Blair .
 
Kwa kweli inakera sana.unajiita Dr wakati kichwani in mweupe.Umeshindwa kutatua changamoto za umeme,maji,miradi uliyokuwa yakumalizia iliyoanzishwa na mtangulizi wake umeshindwa,mfumuko wa bei n.k.Huo U Dr upo wapi sasa?.kujiita Dr wakati hamna kitu ni kuushusha hadhi usomi
Hao wasomi ndiyo utopolo kabsaa
Wezi na wanunuaji wa mitihan na paperwork
Bora Dr msukuma

]
 
Vilaza walio pata division Omary na kukimbia shule wakiingia kwenye siasa huanza kutafuta elimu za kuunga unga ili waonekane wasomi kumbe kichwani zero

Wakina Nyerere,Mandela,Nkurumah nk walikuwa na uwezo wa kusimama na kutema nondo za ajabu mpaka una stahajabu uwezo wao wa kupanga hoja na mantiki hawa licha ya kuandikiwa kila kitu lakini bado wanaongea ugoro tu na takataka alafu ndo wapenda heshima za kuitwa Dr

"Chui hakumbatiwi "
Transformer pia haikumbatiwi
 
Ni laana ya kuamini Ushirikina zaidi ya kufanya kazi na kuongeza ajira

Asilimia kubwa ni wachawi badala ya kuwa na maendeleo
Kweli hili neno la Dr ningelipiga marufuku kabisa na atakaejiita Dr lazima afanye kitu kitakachoonyesha udokta wake

Majitu yanakariri toka primary ila ukimwambia ametuongezea nini katika cheo chake hajui
Ma Dr uchwara
Mtu yupo kwenye siasa anaitwa Dr hizo desertation, paperwork and course work anafanya muda gani??
Kwa logic ya kawaida unajua hapa kuna usanii umefanyika

Ukisikiliza hotuba yake anayoongea sasa utacheka ovyooo kabsaaa

Anaongea nonsense hadi unajiuliza huyu ni Dr wa nini?????

Daaah hatariiii Sana aibu aibu aibu!!
 
Siyo kweli kwamba nchi zote duniani wasomi hawatumii wasifu wa kitaaluma. Uingereza, marekani, Australia, ufaransa, nk wanatumia huo wasifu. Wajerumani ndiyo shida, maana wanatumia mtu akiwa prof. mwenye phd, halafu na ni md, ataanza kujitambulisha na prof, dr. dr fulan fulani. Siyo vibaya wenye phd au professor kujitambulisha kitaaluma.
Ebu fungua akili yako wewe ni mtu mzima!!!
Uchawa utakuuwa
Hao uingereza,ufaransa marekan
Wanao jiiita Dr profesa hawapo kwenye siasa uchwara kama huko kwenu Tz

Museven ni Dr lkn hajiiti Dr
Kwa hiyo acha ujinga ujinga wako
 
Exposure ni shida Tanzania
Wazee wa kukariri
Wanazidiwa ubunifu na wale wazee wa iringa standard seven waliotengeneza umeme wao halafu wakanyimwa vibali na hao ma dr.hahahahaha
 
Nchi tumewekeza kwenye kujipendekeza sana, yaani the only way ya watu ku survive nchi hii ni wao kujipendekeza, hatuwezi survive kwa kutumia akili zetu bali kwa kuabudu na kusifu
Wabunifu wana nyimwa vibali kama wale wazee wa iringa standard seven waliotengeneza umeme wao
 
Mbona vitu vingine ni vidogo sana halafu vinamuumiza mtu kichwa?Waacheni watu wajiite au kuitwa watakavyo.Haikupunguzii kitu wala kukuongezea.
 
Back
Top Bottom