Huu ni uoga wa kuibiwa mume au utani tu?

Huu ni uoga wa kuibiwa mume au utani tu?

wanawake huwa wanakujaribu taratibu usikubaliane na matakwa yake kirahisi rahisi hapo ningemchana ukweli kuwa umezingua, akikutikisa mara moja ukatikisika utakuta na shati zako zote nyuma kakuandikia hivyo
Sema jamaa nae kamstiri kimtindo ila na uhakika alivorudi magetoni alimzingua
 
Siwezi kuvaa hiyo jezi, wanawake huwa wanakujaribu taratibu usikubaliane na matakwa yake kirahisi rahisi hapo ningemchana ukweli kuwa umezingua, akikutikisa mara moja ukatikisika utakuta na shati zako zote nyuma kakuandikia hivyo
😀😀
 
Mwanaume alieoa -anaweza kupata mwanamke kirahisi kuliko hata ambaye yupo single
 
Back
Top Bottom