Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilitaka kuandika Senegal, naedit mkuuSenega ndio nini aisee
Inawezekana kule hakuna COVID-19🦠😷Wakuu nimefatilia game za Senegal vs Misri na Nigeria vs Ghana nimeona viwanja vipo full mashabiki lakini huku kwetu Simba wameagizwa kuingiza 1/2 uwanja inamaana covid ya kwetu ni kali sana?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣si tulikubaliana watu bilion 5 wametufuatilia?
Ni ujinga wa wa Africa hili swali mm mwenyewe nimejiuliza, inakuwaje kwenye mashindano ya vilabu ndio kuna corona ila timu za taifa corona hakuna.Wakuu nimefatilia game za Senegal vs Misri na Nigeria vs Ghana nimeona viwanja vipo full mashabiki lakini huku kwetu Simba wameagizwa kuingiza 1/2 uwanja inamaana covid ya kwetu ni kali sana?