Huu ni upendo, utu wema au mtego?

CCM hamuaminiani.Hata maji ya kunywa mtu wa CCM akikupa usinywe.๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 

Akili za vijana wa UVCCM bana, hasara tupu.
 
Man!! She is doing her work, trying to retain customers like you and you are here wondering customer service you have received.
Collect yourself hiyo ni kawaida Tu au unataka tukwambie anakutaka?
 
episode ikaishia hapo hapo??
 
Man!! She is doing her work, trying to retain customers like you and you are here wondering customer service you have received.
Collect yourself hiyo ni kawaida Tu au unataka tukwambie anakutaka?
Dunia imebadilika sana mkuu

Kitendo kimoja tu unaweza jikuta kwenye situation ambayo hukutarajia kabisa.
 
Hyo oda ya pili utailipia bila kupenda we mchek hewan tu
 
Ambacho umesahau ni kwamba mara ya kwanza ulikuta bidhaa ina mapungufu, hilo ni doa kwenye biashara yake.

Ukaondoka na kurudi siku nyingine; hapo umepoteza muda na gharama za usafiri. Amefidia kwa kukupa bidhaa ya nyongeza ili uendelee kuwa mteja wake. Hiyo ni akili ya biashara.

Hata hivyo kuna watu wamepata wapenzi, wengine wakapata mpaka mke kupitia biashara kama hivyo. Inaonekana kabisa yeye amekuhudumia vizuri kama mteja tu, lakini hilo halikuzuii wewe kumtongoza. Au unataka mseleleko..!
 
Wabongo aisee!!!

Siku za nyuma kuna abiria mmoja kutokea Bongo aliingia matatizoni baada ya kulazimisha busu na kumbato(hug) kutoka kwa air hostess wa ndege ya Emirates iliyokua ikienda Marekani

Jamaa alielewa vibaya kule kuchekewa chekewa na air hostess kua labda demu kamzimia asielewe yale ndio mahitaji ya kazi yao na wapo hivyo kwa abiria wao wote[emoji23][emoji23][emoji23]

Kama umemuelewa basi fata procedures za kummiliki(umtongoze). Kutegemea kua amekupenda wewe kwa sababu ulizozitaja, kwa maoni yangu sio sahihi
 
Reactions: amu
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ