Huu ni ushabiki au ujinga ?

Aisee Dai kampa milioni huyo mtoto..na amesema biashara yake atakayoanzisha watakuwa wanampostia. Sijui na mimi nikachore[emoji85][emoji85][emoji85]
 
mambo ya kulia kifuani kwa mwanaume utayaona dar tu[emoji28][emoji28][emoji28].

yaani huyu mpuuzi angekuwa mdogo wangu,angefika home ningeitisha kikao cha familia.
😂 Mkuu weka agenda za kikao
 
[emoji23] Mkuu weka agenda za kikao

1,tumeanza lini kupenda wanaume wenzetu kiasi hiki???

2,kulala kifuani kwa mwanaume mwenzio,mbaya zaidi unaishiwa nguvu[emoji20][emoji20][emoji20].

3,kulia kwa furaha kwenye kifua cha mwanaume mwenzako.

4,unaambiwa omba pesa,unaomba laki 6[emoji2960][emoji2960],yaani ni kama hukuwa tayari aumie mfuko sababu yako, maana una mapenzi ya dhati[emoji1][emoji1]

5,kubadiri dini kumfuata mwanaume mwenzako,sio kwa kukushawishi kwa hoja laa,ili uwe upande wake tu[emoji3525][emoji3525].

6,tumeshuhudia wadada kibao wakichora tatoo za wanaume wanaowapenda,ila mwanaume inakuwaje aanzie familia yetu[emoji853][emoji853][emoji853].

kabla dogo hajajibu hizi hoja naona atakuwa keshachezea kerbu kadhaa kabla mzee na masister hawajaingilia kati[emoji3525][emoji3525][emoji3525][emoji51][emoji51][emoji51].
 
Angekuwa mdg au mtoto wangu angechezea nakoz sana......Sasa mtoto kama huyo kuharibika si rahisi kabisa
Haya mamuziki yamewaharibu sana watoto wengi muonekano wao siyo

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…