Huu ni usiku wa mahaba, nawakaribisha watu wote mliosingle mtume salamu kwa wapenzi wenu

Huu ni usiku wa mahaba, nawakaribisha watu wote mliosingle mtume salamu kwa wapenzi wenu

44mg44

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2019
Posts
2,158
Reaction score
2,186
Nawakaribisha watu wote wenye wapenz mbali watume Salam zao za ucku wa mahaba kwa wapenzi wao
Karibuni
 
Dear E, U hali gani Mrembo wangu?
Binafsi sina mengi zaidi ya kukutakia usiku ulio mwema na njozi ziletazo afya ya akili, nakumiss sana
Zaidi nafurahia uwepo wa mbususu yako (tight, hot and puffy) kwenye maisha yangu na naahidi nitaendelea kuichakata kwa shauku na ufundi wa hali ya juu all the time. Nighty night
Your's truly
Cavill.
 
Dear E, U hali gani Mrembo wangu?
Binafsi sina mengi zaidi ya kukutakia usiku ulio mwema na njozi ziletazo afya ya akili, nakumiss sana
Zaidi nafurahia uwepo wa mbususu yako (tight, hot and puffy) kwenye maisha yangu na naahidi nitaendelea kuichakata kwa shauku na ufundi wa hali ya juu all the time. Nighty night
Your's truly
Cavill.
No sence
 
Dear E, U hali gani Mrembo wangu?
Binafsi sina mengi zaidi ya kukutakia usiku ulio mwema na njozi ziletazo afya ya akili, nakumiss sana
Zaidi nafurahia uwepo wa mbususu yako (tight, hot and puffy) kwenye maisha yangu na naahidi nitaendelea kuichakata kwa shauku na ufundi wa hali ya juu all the time. Nighty night
Your's truly
Cavill.
Hahahahha
 
Nawakaribisha watu wote wenye wapenz mbali watume Salam zao za ucku wa mahaba kwa wapenzi wao
Karibuni
Natuma salamu kwa mpenzi wangu S aliyeko Daslam,najua unaliwa kama ambavyo nami nakula ila usiache wahuni wamalize utamu wote.
Ujumbe:Fimbo ya mbali haiui nyoka.
 
Chai utamu wake sukari, kahawa uchungu wake hupozwa na haluwa. Wewe ni langu uwa nikuonapo pumzi zangu unazichukuwa, Umenifanya niwe na Phd ya udaktari sio wa Muhimbili wala Aga khan, ni daktari wa mapenzi kwako Honey. Usiku mwema nakutakia kiss changu chukuwa niote nikiwa nimekukumbatia good night wangu my dear ❤️
 
Judith ,nakuomba afya kwenye nyama damu na mifupa
 
Mkuu kachomwe sindano la bichwa yani single halafu watume salamu kwa wapenzi wao!..

Na mibichwa myengine imekuja kukomenti Sasa kuonyesha usingle wao wenye wapenzi😂
Yaan uzi wa mistar michache tu umeshndwa kukuelewa ?? Duu Kaz ipo
 
Natuma salam kwa mbwa wangu yupo kijijini Monduli .

Napenda kutuma salamu kwa paka wangu yupo kiteto kwa bibi.
Na mwisho natuma salamu kwa ng'ombe zangu nipo now hapa naangalia tv 🤣🤣🤣🤣
 
Natuma salamu kwa mpenzi wangu S aliyeko Daslam,najua unaliwa kama ambavyo nami nakula ila usiache wahuni wamalize utamu wote.
Ujumbe:Fimbo ya mbali haiui nyoka.
Angalia usje ukajinyonga mkuu
 
Salamu tumtumie nani sasa? We mkuu vipi huu uzi haujaeleweka😀
Nimesema unaweza ukawa upo single muda huu,mpenz wako Yuko mbali,ko mtumie Salam za kumkumbuka... Kama umenielewa naomba Salam zako zianzie kwangu
 
Back
Top Bottom