Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Timing kiaje yaan
🤣🤣🤣🤣Kimasiara jaman
Niweze kulamba asali..😍😂😂😂Timing kiaje yaan
OkMama KIDUKU huko huko ulipo nakuzimia kinooma mshikaji wangu.
We ndio komando kipensi wangu, umeniweza mimi, kwako nimejituliza tuli.
Kwanza mahari uliyoiomba naona kama kidunchu mnoo we mtoto wa kike.
Nina mpango wa kila mwaka niwe nakuoa upya, wewe ni mwanamke niliyekuwa nikimsaka maisha yangu yoote..
Kitu cha kuchekesha nimekupata kizeeeembe 😂🤣
Nimeokota dodo kwenye mti wa kimvuli 😂🤣
Majukumu ya ndoa, analea mume[emoji4]
Dah ila shemeji anakojolea pazuriMajukumu ya ndoa, analea mume[emoji4]