Utaingizwa mjini na wajanja huwezi kufanya transfer ya gari bila kitambulisho cha mwenye gari mkataba wa mauziano tena uonyeshe majina ya mwenye gari yanayosoma kwenye kadi ya gari na pia uwe na muhuri wa mwanasheria pia mkataba ulipiwe kodiWajuzi mnaonunua magari mara kwa mara naomba uzoefu wenu hasa mnaonunua magari mikononi kwa watu
Leo Kuna Gari nilikuwa nataka kununua kwa mtu lakini Dalali kaja na mtu anayedai ni mmiliki wa hiyo Gari lakini Cha ajabu Majina yake hayapo kwenye kadi ya Gari anadai hakufanya transfer
Sasa Wakati tunataka kufanya Biashara wakadai issue ya Majina Haina tabu kwamba wao niwape Chao then Mimi kwa muda wangu nitaenda TRA kufanya transfer ya Majina bila mmiliki wa mwanzo kuwepo.
Sasa swali lipo hapo, inawezekana kufanya transfer ya Majina kwenye kadi ya Gari bila mmiliki kuwepo?
Shukrani mkuu kwa muongozo....Iko hivi, huyu anayetaka kuniuzia Gari Majina yake hayasomi kwenye kadi ila amekuja na kopi ya kitambulisho Cha mhusika wa Hilo gari ambalo amedai kalinunua kutoka kwakeUsikubali na hakikisha mwenye jina umempata na pia kadi original uione, utaratibu ni lazima upate kitambulisho cha mwenye jina kiwe cha taifa au leseni, cha kura na picha passport size, mkataba wa mauziano pia.
Usikubali kununua gari bila kumpata muhusika mwenye jina na ukiuza gari usikubali jina lako liendelee kutumika huko gari inapokwenda, kuwa makini sana na gari iliyopita mikono zaidi ya miwili au mmoja bila kubadilishwa jina la muhusika.
Utaingizwa mjini na wajanja huwezi kufanya transfer ya gari bila kitambulisho cha mwenye gari mkataba wa mauziano tena uonyeshe majina ya mwenye gari yanayosoma kwenye kadi ya gari na pia uwe na muhuri wa mwanasheria pia mkataba ulipiwe kodi
Angalizo usije kuuziwa gari ya wizi
Hivyo vyote jamaa kaja navyo, kitambulisho Cha huyo aliyekuwa mmiliki wa Hilo gari, Kadi OG, so nilitaka kujua kwamba kama TRA wanaweza kufanya transfer ya Majina kwa kopi ya kitambulisho tu bila mwenye kitambulisho chake kuwepo (ambaye ndiye aliyekuwa akimiliki gari)Utaingizwa mjini na wajanja huwezi kufanya transfer ya gari bila kitambulisho cha mwenye gari mkataba wa mauziano tena uonyeshe majina ya mwenye gari yanayosoma kwenye kadi ya gari na pia uwe na muhuri wa mwanasheria pia mkataba ulipiwe kodi
Angalizo usije kuuziwa gari ya wizi
Hilo ni ķanjanja mjomba, huwezi kufanya transfer bila mmiliki wa gari kuwepo, hata kama kuna ukweli wa jambo hilo basi ni bora mukutane ana kwa ana na huyo mmiliki ili mukubaliane kwamba atakuwa tayari kukusaidia jambo hilo.Wajuzi mnaonunua magari mara kwa mara naomba uzoefu wenu hasa mnaonunua magari mikononi kwa watu
Leo Kuna Gari nilikuwa nataka kununua kwa mtu lakini Dalali kaja na mtu anayedai ni mmiliki wa hiyo Gari lakini Cha ajabu Majina yake hayapo kwenye kadi ya Gari anadai hakufanya transfer
Sasa Wakati tunataka kufanya Biashara wakadai issue ya Majina Haina tabu kwamba wao niwape Chao then Mimi kwa muda wangu nitaenda TRA kufanya transfer ya Majina bila mmiliki wa mwanzo kuwepo.
Sasa swali lipo hapo, inawezekana kufanya transfer ya Majina kwenye kadi ya Gari bila mmiliki kuwepo?
Inawezekana kwa sisi wazoefu ila kwa mgeni wewe usijaribu utapigwa.Wajuzi mnaonunua magari mara kwa mara naomba uzoefu wenu hasa mnaonunua magari mikononi kwa watu
Leo Kuna Gari nilikuwa nataka kununua kwa mtu lakini Dalali kaja na mtu anayedai ni mmiliki wa hiyo Gari lakini Cha ajabu Majina yake hayapo kwenye kadi ya Gari anadai hakufanya transfer
Sasa Wakati tunataka kufanya Biashara wakadai issue ya Majina Haina tabu kwamba wao niwape Chao then Mimi kwa muda wangu nitaenda TRA kufanya transfer ya Majina bila mmiliki wa mwanzo kuwepo.
Sasa swali lipo hapo, inawezekana kufanya transfer ya Majina kwenye kadi ya Gari bila mmiliki kuwepo?
Ndio kitambulisho kipo, Dalali amekuja nacho, na Kadi anayo ila mwenye gari hayupoHuyo ni dalali mjanja mjanja...tafuta dalali anaejua kazi hiyo...TRA wanataka kitambulisho cha mwenye gari, we unacho? unamjua? passport picture ya mwenye gari unayo?
Kama umeshanunua tafuta watu wataibadilisha, kama bado hujanunua nenda mwenyewe TRANdio kitambulisho kipo, Dalali amekuja nacho, na Kadi anayo ila mwenye gari hayupo
Kikubwa iwepo ID ya mwenye Gari yenye jina linalofanana na la kwenye Kadi. yaweza kuwa Passport au kitambulisho cha uraia na mkataba wa mauziano. Mambo mengine uwe unawapa watu wa kufanyie. ukileta usomi na complications za usomi utachelewesha zoezi.Wajuzi mnaonunua magari mara kwa mara naomba uzoefu wenu hasa mnaonunua magari mikononi kwa watu
Leo Kuna Gari nilikuwa nataka kununua kwa mtu lakini Dalali kaja na mtu anayedai ni mmiliki wa hiyo Gari lakini Cha ajabu Majina yake hayapo kwenye kadi ya Gari anadai hakufanya transfer
Sasa Wakati tunataka kufanya Biashara wakadai issue ya Majina Haina tabu kwamba wao niwape Chao then Mimi kwa muda wangu nitaenda TRA kufanya transfer ya Majina bila mmiliki wa mwanzo kuwepo.
Sasa swali lipo hapo, inawezekana kufanya transfer ya Majina kwenye kadi ya Gari bila mmiliki kuwepo?
Mkuu kwa kuwa umeshapata mashaka na jambo hilo isikilize nafsi yako kitu inachotaka ufanye.Shukrani mkuu kwa muongozo....Iko hivi, huyu anayetaka kuniuzia Gari Majina yake hayasomi kwenye kadi ila amekuja na kopi ya kitambulisho Cha mhusika wa Hilo gari ambalo amedai kalinunua kutoka kwake
Wenyewe wanadai kuwa wakinunua Magari kwaajili ya kufanya Biashara huwa hawabadilishi Majina kadi wanaiacha kama ilivyo, Sasa wakishapata mteja ndio wanamshauri ku transfer Majina...hapo ndio nilitaka kujua kwamba hizi Biashara zinafanyikaga hivi au ni ujanja ujanja tu?