Boss Man
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 458
- 991
Wajuzi mnaonunua magari mara kwa mara naomba uzoefu wenu hasa mnaonunua magari mikononi kwa watu
Leo Kuna Gari nilikuwa nataka kununua kwa mtu lakini Dalali kaja na mtu anayedai ni mmiliki wa hiyo Gari lakini Cha ajabu Majina yake hayapo kwenye kadi ya Gari anadai hakufanya transfer
Sasa Wakati tunataka kufanya Biashara wakadai issue ya Majina Haina tabu kwamba wao niwape Chao then Mimi kwa muda wangu nitaenda TRA kufanya transfer ya Majina bila mmiliki wa mwanzo kuwepo.
Sasa swali lipo hapo, inawezekana kufanya transfer ya Majina kwenye kadi ya Gari bila mmiliki kuwepo?
Leo Kuna Gari nilikuwa nataka kununua kwa mtu lakini Dalali kaja na mtu anayedai ni mmiliki wa hiyo Gari lakini Cha ajabu Majina yake hayapo kwenye kadi ya Gari anadai hakufanya transfer
Sasa Wakati tunataka kufanya Biashara wakadai issue ya Majina Haina tabu kwamba wao niwape Chao then Mimi kwa muda wangu nitaenda TRA kufanya transfer ya Majina bila mmiliki wa mwanzo kuwepo.
Sasa swali lipo hapo, inawezekana kufanya transfer ya Majina kwenye kadi ya Gari bila mmiliki kuwepo?