Huu ni utapeli au sio utapeli? Je, ushawahi kukumbana na hii hali?

Huu ni utapeli au sio utapeli? Je, ushawahi kukumbana na hii hali?

Hivi mtu usiyemfahamu na hata kama ungekuwa unamfahamu anakupaje data bure...!!??

Ila sisi Watanzania bado tupo nyuma sana kwenye huu wizi wa mitandaoni. Yaani jitu hulijui, bado unachat nalo?

Kumbuka bure ni ghali/gharama

Mmmm... Au unafurahia Kiingereza!
 
Hivi mtu usiyemfahamu na hata kama ungekuwa unamfahamu anakupaje data bure...!!??

Ila sisi Watanzania bado tupo nyuma sana kwenye huu wizi wa mitandaoni. Yaani jitu hulijui, bado unachat nalo?

Kumbuka bure ni ghali/gharama

Mmmm... Au unafurahia Kiingereza!
Watu wa hivi nawapendaga sana
Tunazungushana na chats mwisho wa siku haambulii kitu
 
Na wengine hawa hapa nina wasi wasi nao
 

Attachments

  • Screenshot_2023-06-26-09-22-40-167_com.whatsapp.jpg
    Screenshot_2023-06-26-09-22-40-167_com.whatsapp.jpg
    137.6 KB · Views: 4
Umakin unahitajika ukiingia kwa miguu miwili unazamishwa mazima
 

Attachments

  • Screenshot_2023-06-26-09-20-07-936_com.whatsapp.jpg
    Screenshot_2023-06-26-09-20-07-936_com.whatsapp.jpg
    137.8 KB · Views: 4
Huyu nafikiri ni mtu wa pili ananitumia hivi. Nimemjibu Yes, lakini sija apply chochote.

Kuna ambaye kashakumbana nao hao?

View attachment 2668638
Huyu ukishampa namba anafungua account ya Telegram
Utatumiwa code za verification
Anakurudia anakwambia nipe hizo code
Ukimpa anakua na access ya acc yake (yenye namba yako) hio ndo anatumia kubondea watu
 
Watanzania msipende vya bure, mwishowe vina gharama kubwa.

Lipa Voda, tigo, Halotel n.k na maisha yaendeleee kama kawaida. Achana na vya bure, hata kama unataka kukimbia kodi za Mwigulu Nchembe.
 
Huyu nafikiri ni mtu wa pili ananitumia hivi. Nimemjibu Yes, lakini sija apply chochote.

Kuna ambaye kashakumbana nao hao?

View attachment 2668638
Country Code +234 ni Nigeria. Au kwa vile kaweka picha ya mzungu kwenye profile yake?

Na kwa nini huwa mnaamini kwamba eti kuna cha bure hapa duniani? Tena mitandaoni humu? Na kutoka kwa mtu ambaye wala humfahamu? 😳😳😳
 
Back
Top Bottom