Pettymagambo
JF-Expert Member
- Aug 21, 2017
- 1,490
- 8,227
Mojo kwa moja kwenye mada"
Kumekuwa na takwimu inasambazwa kwenye magroup mbalimbali ya michezo eti Mnyama mkali kuliko wote mwituni ndie anaongoza kwa kupiga pasi nyingi.
Mimi kama mwana simba nasema huo ni uwongo wa kutaka kubalance mambo hasa baada ya kuonekana haya majamaa {utopolo} yanaupiga mwingi mpaka unamwagikia.
Tumeona wote namna timu pinzani zinavyoteseka tangu sekunde ya kwanza mpaka ya mwisho, eti leo mtu anakuja na vitakwimu simba anaongoza kwa passes? Sote tunaona mpira wetu ambavyo umekuwa wa mashaka japo tunashinda, ila kusema tumewazidi passes uto?
Hili ni hapana, nipo tayari kutukanwa na kuitwa uto mteule, ila ukweli yale majamaa yanatisha haki!
Kumekuwa na takwimu inasambazwa kwenye magroup mbalimbali ya michezo eti Mnyama mkali kuliko wote mwituni ndie anaongoza kwa kupiga pasi nyingi.
Mimi kama mwana simba nasema huo ni uwongo wa kutaka kubalance mambo hasa baada ya kuonekana haya majamaa {utopolo} yanaupiga mwingi mpaka unamwagikia.
Tumeona wote namna timu pinzani zinavyoteseka tangu sekunde ya kwanza mpaka ya mwisho, eti leo mtu anakuja na vitakwimu simba anaongoza kwa passes? Sote tunaona mpira wetu ambavyo umekuwa wa mashaka japo tunashinda, ila kusema tumewazidi passes uto?
Hili ni hapana, nipo tayari kutukanwa na kuitwa uto mteule, ila ukweli yale majamaa yanatisha haki!