Huu ni wakati Hezbollah anaipiga Israel vibaya mno

Huu ni wakati Hezbollah anaipiga Israel vibaya mno

Joined
Jan 6, 2022
Posts
56
Reaction score
336
Narudia tena Israel anaenda kupigwa vibaya mno na Wana Lebanon Hezbollah.

Kwa kilichowahi kutoka 2006 ambako Israel alipigwa na Hezbollah Hadi akakimbia ndio naona hii inatokea tena,
Hezbollah hawa watu ni hatari
sana.

Hadi Marekani amemwambia Israel asiingie vitan na Hezbollah Kwa sababu Hezbollah anao uwezo wa kuipiga vibaya mno Israel.

Hez ana silaha nzito nzito mno ana missiles ana aircraft pia ana drones za shaad ambazo anapewa na iran.

Hezbollah anao wanajeshi kabisa waliofundishwa vizuri mno.

Pia Wana teknolojia Kubwa kama waliweza kupeleka drones Israel Ili irekodi maeneo yote muhimu kama kambi za kijeshi na bandariq bila Israel kujua hawa watu ni nomaa.

Niwe mkweli nauona mwisho wa Israel akijaribu kungia front war na Hezbollah anapigwa vibaya mno.

Namshauri bwana kipaka ni Bora asiingie bitani na Hezbollah Kwa maslahi ya taifa lake.

Nipo hapa kushuudia Israel alipigwa.

Na leo tayari wameanza kupigana Huko.

Natoa wiki2 tu Israel atachakaa.
 
Narudia tena Israel anaenda kupigwa vibaya mno na Wana Lebanon Hezbollah.
Unaionea Huruma ? Fanatic anajiandaa kuandamana kuilaani Israel kuua Walebanese
Kwa kilichowahi kutoka 2006 ambako Israel alipigwa na Hezbollah Hadi akakimbia ndio naona hii inatokea tena,
Hezbollah hawa watu ni hatari
sana.
Israel haijawahi pigwa na Muslim Country Zaidi huwa ikitoa onyo inawaonea huruma na kuwasamehe kama mkitulia... Israel ikiichwa ibafukuza arabs wote nearby
Hadi Marekani amemwambia Israel asiingie vitan na Hezbollah Kwa sababu Hezbollah anao uwezo wa kuipiga vibaya mno Israel.
Hata Mandonga anauwezo wa kupigana issue unajua? kabla ya vita Hezbollah 500 washadedishwa na huyu wa usiku huu ni wa 501
Hez ana silaha nzito nzito mno ana missiles ana aircraft pia ana drones za shaad ambazo anapewa na iran.

Hezbollah anao wanajeshi kabisa waliofundishwa vizuri mno.
Sawa wajibu tena kuua raia.. watapewa zawadi from watu wa Allah Bani Israel
Pia Wana teknolojia Kubwa kama waliweza kupeleka drones Israel Ili irekodi maeneo yote muhimu kama kambi za kijeshi na bandariq bila Israel kujua hawa watu ni nomaa.
Wana mabomu mazito au ndio huto turockets? Uturuki wenu kaambiwa ataguezwa Sadam Hussein na ana kila kitu kushinda Israel ila mabomu mazito atayajua yakitua uturuki
Niwe mkweli nauona mwisho wa Israel akijaribu kungia front war na Hezbollah anapigwa vibaya mno.
Vichekesho kama hivi viapatikana Msikiti TV
Namshauri bwana kipaka ni Bora asiingie bitani na Hezbollah Kwa maslahi ya taifa lake.

Nipo hapa kushuudia Israel alipigwa.

Na leo tayari wameanza kupigana Huko.

Natoa wiki2 tu Israel atachakaa.
Kama mlivyotoa Gaza na Kwa Houthi pia wasalimie Yemen
 
Narudia tena Israel anaenda kupigwa vibaya mno na Wana Lebanon Hezbollah.

Kwa kilichowahi kutoka 2006 ambako Israel alipigwa na Hezbollah Hadi akakimbia ndio naona hii inatokea tena,
Hezbollah hawa watu ni hatari
sana.

Hadi Marekani amemwambia Israel asiingie vitan na Hezbollah Kwa sababu Hezbollah anao uwezo wa kuipiga vibaya mno Israel.

Hez ana silaha nzito nzito mno ana missiles ana aircraft pia ana drones za shaad ambazo anapewa na iran.

Hezbollah anao wanajeshi kabisa waliofundishwa vizuri mno.

Pia Wana teknolojia Kubwa kama waliweza kupeleka drones Israel Ili irekodi maeneo yote muhimu kama kambi za kijeshi na bandariq bila Israel kujua hawa watu ni nomaa.

Niwe mkweli nauona mwisho wa Israel akijaribu kungia front war na Hezbollah anapigwa vibaya mno.

Namshauri bwana kipaka ni Bora asiingie bitani na Hezbollah Kwa maslahi ya taifa lake.

Nipo hapa kushuudia Israel alipigwa.

Na leo tayari wameanza kupigana Huko.

Natoa wiki2 tu Israel atachakaa.
Ismail Haniyeh ameliwa kichwa huko Teheran
 
Back
Top Bottom