Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 135,167
- 160,806
Wanataka wenyewe...Vibaya hivooo lo.
Watu wanauana wewe unasema wanyoshane kha!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanataka wenyewe...Vibaya hivooo lo.
Watu wanauana wewe unasema wanyoshane kha!
View: https://x.com/Osint613/status/1818719934932988351
Kiongozi wa Hezbollah alikuwa anachepuka wakati anakufa 🤣 🤣 🤣 🤣
Kafa na Janaba
FaizaFoxy hii kidini imekaaje
ThanksOooh! Karibu tena. Them good old days!
Sawa ila wakiamza mambo yao ya sijui wanapigania alah watapigwa, wao waweke ajenda za vita zinazoeleweka tutawaunga mkonoNarudia tena Israel anaenda kupigwa vibaya mno na Wana Lebanon Hezbollah.
Kwa kilichowahi kutoka 2006 ambako Israel alipigwa na Hezbollah Hadi akakimbia ndio naona hii inatokea tena,
Hezbollah hawa watu ni hatari
sana.
Hadi Marekani amemwambia Israel asiingie vitan na Hezbollah Kwa sababu Hezbollah anao uwezo wa kuipiga vibaya mno Israel.
Hez ana silaha nzito nzito mno ana missiles ana aircraft pia ana drones za shaad ambazo anapewa na iran.
Hezbollah anao wanajeshi kabisa waliofundishwa vizuri mno.
Pia Wana teknolojia Kubwa kama waliweza kupeleka drones Israel Ili irekodi maeneo yote muhimu kama kambi za kijeshi na bandariq bila Israel kujua hawa watu ni nomaa.
Niwe mkweli nauona mwisho wa Israel akijaribu kungia front war na Hezbollah anapigwa vibaya mno.
Namshauri bwana kipaka ni Bora asiingie bitani na Hezbollah Kwa maslahi ya taifa lake.
Nipo hapa kushuudia Israel alipigwa.
Na leo tayari wameanza kupigana Huko.
Natoa wiki2 tu Israel atachakaa.
Bado unawaza kutongozana? 🤣🤣
Waje momoja mmoja wavuliwe chupi wasokomezwe jiti lenye maji ya uzima wa mileleNarudia tena Israel anaenda kupigwa vibaya mno na Wana Lebanon Hezbollah.
Kwa kilichowahi kutoka 2006 ambako Israel alipigwa na Hezbollah Hadi akakimbia ndio naona hii inatokea tena,
Hezbollah hawa watu ni hatari
sana.
Hadi Marekani amemwambia Israel asiingie vitan na Hezbollah Kwa sababu Hezbollah anao uwezo wa kuipiga vibaya mno Israel.
Hez ana silaha nzito nzito mno ana missiles ana aircraft pia ana drones za shaad ambazo anapewa na iran.
Hezbollah anao wanajeshi kabisa waliofundishwa vizuri mno.
Pia Wana teknolojia Kubwa kama waliweza kupeleka drones Israel Ili irekodi maeneo yote muhimu kama kambi za kijeshi na bandariq bila Israel kujua hawa watu ni nomaa.
Niwe mkweli nauona mwisho wa Israel akijaribu kungia front war na Hezbollah anapigwa vibaya mno.
Namshauri bwana kipaka ni Bora asiingie bitani na Hezbollah Kwa maslahi ya taifa lake.
Nipo hapa kushuudia Israel alipigwa.
Na leo tayari wameanza kupigana Huko.
Natoa wiki2 tu Israel atachakaa.
Umejibu vizuri mashallahUnaionea Huruma ? Fanatic anajiandaa kuandamana kuilaani Israel kuua Walebanese
Israel haijawahi pigwa na Muslim Country Zaidi huwa ikitoa onyo inawaonea huruma na kuwasamehe kama mkitulia... Israel ikiichwa ibafukuza arabs wote nearby
Hata Mandonga anauwezo wa kupigana issue unajua? kabla ya vita Hezbollah 500 washadedishwa na huyu wa usiku huu ni wa 501
Sawa wajibu tena kuua raia.. watapewa zawadi from watu wa Allah Bani Israel
Wana mabomu mazito au ndio huto turockets? Uturuki wenu kaambiwa ataguezwa Sadam Hussein na ana kila kitu kushinda Israel ila mabomu mazito atayajua yakitua uturuki
Vichekesho kama hivi viapatikana Msikiti TV
Kama mlivyotoa Gaza na Kwa Houthi pia wasalimie Yemen
Mbona maelezo ni mengi mno? Wameuliwa kiongozi wao na kushambuliwa maeneo yao. Si walianzishe Sasa? Wanasubiri nini?Narudia tena Israel anaenda kupigwa vibaya mno na Wana Lebanon Hezbollah.
Kwa kilichowahi kutoka 2006 ambako Israel alipigwa na Hezbollah Hadi akakimbia ndio naona hii inatokea tena,
Hezbollah hawa watu ni hatari
sana.
Hadi Marekani amemwambia Israel asiingie vitan na Hezbollah Kwa sababu Hezbollah anao uwezo wa kuipiga vibaya mno Israel.
Hez ana silaha nzito nzito mno ana missiles ana aircraft pia ana drones za shaad ambazo anapewa na iran.
Hezbollah anao wanajeshi kabisa waliofundishwa vizuri mno.
Pia Wana teknolojia Kubwa kama waliweza kupeleka drones Israel Ili irekodi maeneo yote muhimu kama kambi za kijeshi na bandariq bila Israel kujua hawa watu ni nomaa.
Niwe mkweli nauona mwisho wa Israel akijaribu kungia front war na Hezbollah anapigwa vibaya mno.
Namshauri bwana kipaka ni Bora asiingie bitani na Hezbollah Kwa maslahi ya taifa lake.
Nipo hapa kushuudia Israel alipigwa.
Na leo tayari wameanza kupigana Huko.
Natoa wiki2 tu Israel atachakaa.
Muslim hamna akili yaani mkiona mtu anaunga mkono mambo yenu mnampa air time Hamas pia walikuwa wanashangiliwa na Mashoga kwenye maandamano.. mkafurahi sana... Ndio maana mna hadithi nyingi za kijinga kisa tu mnasifiwa haijalishi na nani?