Huu ni wakati Hezbollah anaipiga Israel vibaya mno

Nilikuwa nje ya mipaka ya tz dear sasa nmerud
Utaniona sana hapa jukwaani
Nlimuona Arushaone nkafurah sana nikakumbuka party ya Arusha Wing na dar Wing kipindi hicho
Oooh! Karibu tena. Them good old days!
 
Another Gaza is coming. Hatar iliyo kubwa ni kuwa Lebanon hali ya uchumi ni mbaya mno mno
 
Sawa ila wakiamza mambo yao ya sijui wanapigania alah watapigwa, wao waweke ajenda za vita zinazoeleweka tutawaunga mkono
 
Waje momoja mmoja wavuliwe chupi wasokomezwe jiti lenye maji ya uzima wa milele
 
Umejibu vizuri mashallah
 
Mbona maelezo ni mengi mno? Wameuliwa kiongozi wao na kushambuliwa maeneo yao. Si walianzishe Sasa? Wanasubiri nini?
 
Your browser is not able to display this video.
 
Muslim hamna akili yaani mkiona mtu anaunga mkono mambo yenu mnampa air time Hamas pia walikuwa wanashangiliwa na Mashoga kwenye maandamano.. mkafurahi sana... Ndio maana mna hadithi nyingi za kijinga kisa tu mnasifiwa haijalishi na nani?

Sasa huyu kaongea utumbo na uharo umemuweka front seat kabisa hata msikitini ataalikwa na kwenye baraza la Iddi anapangwa mbele kabisa... Satan ni Satan tu..

Islam mmetaka vita mmevipata... for free chimbeni tu makaburi Allah kawaandalia Mademu wengi sana Jannah Firdaus
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…