Je wajua LISSU anawafuasi wake tu yaan wao ni wanamsikiliza tu na wako naye popote??.Ilikuwepo Manchester united
Ilikuwepo Barcelona
Ilikuwepo Brazilian
Hizi ktk soka zikivuma lkn hivi sasa hazivumi tena.
Kisiasa
Huu ndio wakati wa Lissu kufifia kabisa ktk siasa
Baada yauchaguzi kwisha na lissu kushindwa vibaya ndio mwisho wa siasa zake za umachachari.
Hakuna jukwaa la kisiasa litaloweza kulitumia angakangara.
Ukiondoa chadema lissu hata tena uwanja unaomfaa yeye , labda maria space iloobaki
Malaria haijaisha tu kwani?malaria inavyosumbua watu, nawe unadiriki kujiita hivyo, shoe wine!
YESU NI BWANA&MWOKOZI