Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Leo nimeenda kununua umeme kituo kimoja cha TANESCO.
Nikiwa kituoni pale kulikuwa na msururu mrefu sana wa wananchi wakiwa kwenye foleni, akaja mtu ambaye haiba yake inaonyesha ni mtu mwenye uwezo hivi kifedha. Yule bwana akajinadi kuwa ni Muinjilisti, akaanza kuchanganya maneno ya dini na siasa kwa staili ya kuwahubiria watu, akaanza kumponda rais Samia kuwa anadanganywa n. k
Huyu bwana pia aliingia ndani ya geti na kuanza kufanya mahubiri ya kumponda raisi Samia lakini wakati huohuo akichanganya na kumtaja Mungu
Nikatafakari sana tukio hilo, nikatafakari choice ya location ya mahubiri yake ya kisiasa, Kwa nini amekuja eneo lile ambalo watu wana frustrations za umeme kutopatikana. Je, huyu mtu alitaka kucapitalize kwenye kero hii ya umeme ili kupenyeza sumu ya kuwataka watu wamchukie rais?
Kiufupi binafsi ninahisi something haiko sawa, kuna haja ya Rais Samia kupanga safu yake ya uongozi. Kuna Loyalist wa Magufuli ndani ya serikali yake ambao hawaamini kuwa masilahi yao na priviledges walizokuwa wakizipata enzi za Magufuli wataendelea kuzipata!
Hili kundi linajaribu kumblackmail rais Samia kuwa wanaweza kumharibia.
Hili kundi lilikuwa shocked kutokana na kifo cha rais Magufuli, initially walikuwa in denial, sasa wapo kwenye phase ya Hasira, Rais Samia inabidi alisaidie hili kundi lije kwenye acceptance stage haraka, na njia nzuri ya kufanya hivyo ni kufanya purging ya wale vinara ili wale dagaa waliobaki waje kwenye compromising stage.
Kuharibika kwa hii mifumo ya taasisi nyeti tena zinazohusu collection ya fedha haiwezekani ikawa ni coincidence tu, hata kama ni coincidence ni muhimu watu tena wakubwa wawajibishwe ili kutuma meseji kali kuwa hii kitu haivumiliki na haikubaliki.
Raisi alifanya recycling ya baraza la Mawaziri, japo hiyo move ililenga kutuliza taharuki katika utendaji wa serikali, lakini ipo haja ya kuliunda upya baraza la mawaziri ili iwepo total loyalty kwa rais Samia.
Hivi sasa wateuliwa kwa sababu ni zao la Magufuli wana divided loyalty, moja kwa hayati na ya pili kwa Samia. Sasa Samia hana budi afikirie kuunda upya baraza lake, na akiunda jipya aangalie asiingie katika mtego wa kuwaingiza kundini wale "chawa" wa hayati, atafute watu wake!
Nikiwa kituoni pale kulikuwa na msururu mrefu sana wa wananchi wakiwa kwenye foleni, akaja mtu ambaye haiba yake inaonyesha ni mtu mwenye uwezo hivi kifedha. Yule bwana akajinadi kuwa ni Muinjilisti, akaanza kuchanganya maneno ya dini na siasa kwa staili ya kuwahubiria watu, akaanza kumponda rais Samia kuwa anadanganywa n. k
Huyu bwana pia aliingia ndani ya geti na kuanza kufanya mahubiri ya kumponda raisi Samia lakini wakati huohuo akichanganya na kumtaja Mungu
Nikatafakari sana tukio hilo, nikatafakari choice ya location ya mahubiri yake ya kisiasa, Kwa nini amekuja eneo lile ambalo watu wana frustrations za umeme kutopatikana. Je, huyu mtu alitaka kucapitalize kwenye kero hii ya umeme ili kupenyeza sumu ya kuwataka watu wamchukie rais?
Kiufupi binafsi ninahisi something haiko sawa, kuna haja ya Rais Samia kupanga safu yake ya uongozi. Kuna Loyalist wa Magufuli ndani ya serikali yake ambao hawaamini kuwa masilahi yao na priviledges walizokuwa wakizipata enzi za Magufuli wataendelea kuzipata!
Hili kundi linajaribu kumblackmail rais Samia kuwa wanaweza kumharibia.
Hili kundi lilikuwa shocked kutokana na kifo cha rais Magufuli, initially walikuwa in denial, sasa wapo kwenye phase ya Hasira, Rais Samia inabidi alisaidie hili kundi lije kwenye acceptance stage haraka, na njia nzuri ya kufanya hivyo ni kufanya purging ya wale vinara ili wale dagaa waliobaki waje kwenye compromising stage.
Kuharibika kwa hii mifumo ya taasisi nyeti tena zinazohusu collection ya fedha haiwezekani ikawa ni coincidence tu, hata kama ni coincidence ni muhimu watu tena wakubwa wawajibishwe ili kutuma meseji kali kuwa hii kitu haivumiliki na haikubaliki.
Raisi alifanya recycling ya baraza la Mawaziri, japo hiyo move ililenga kutuliza taharuki katika utendaji wa serikali, lakini ipo haja ya kuliunda upya baraza la mawaziri ili iwepo total loyalty kwa rais Samia.
Hivi sasa wateuliwa kwa sababu ni zao la Magufuli wana divided loyalty, moja kwa hayati na ya pili kwa Samia. Sasa Samia hana budi afikirie kuunda upya baraza lake, na akiunda jipya aangalie asiingie katika mtego wa kuwaingiza kundini wale "chawa" wa hayati, atafute watu wake!