Huu sasa ni uharamia: Kumbe bomba la gesi Nord 1 lilifumuliwa, kipande cha mita 40 kikatoka!

Huu sasa ni uharamia: Kumbe bomba la gesi Nord 1 lilifumuliwa, kipande cha mita 40 kikatoka!

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Sasa nimeelewa kwa nini nchi za magharibi hazikutaka kabisa kuihusisha Urusi kwenye kuchunguza kilichotokea kwenye mabomba ya gesi toka urusi. Tuliambiwa gesi ilivuja kumbe siyo kuvuja bali ILIMWAGIKA!! Kuvuja maana yake kuna tundu kwenye bomba.

Kumbe si tundu bali bombomba lilifumuliwa na kipande cha mita 40 kikanyofoka! Putin kama angeona kipindi hicho huenda hasira zingempanda na akalipiza kisasi huenda kwa ukatili zaidi. Baada ya muda kupita, vumbi linatulia hatimaye kampuni ya urusi inayoshughulika na uuzaji wa gesi ikaruhusiwa kujionea maafa!! Looh!! Kipande cha kueleweka cha mita 40 kilipigwa kombora kikanyofoka!

When the September blasts that damaged Nord Stream came up, the Russian president said that Gazprom was allowed to inspect the damage. Sweden had refused to involve Russia in the investigation, citing information “that is subject to confidentiality directly linked to national security.”

The blast “tore off” a 40-meter section of the pipe and separated the lines by 250 meters, Putin said, adding there was “a piece bent by 90 degrees and thrown against another part of Nord Stream.”
 
Narudia nchi za magharibi especially viongozi wao wameshikwa na ukichaa , huwezi kujua wanadungw sindano gani au wanawekewa sumu gani kwenye akili zao.,lakin ukweli ni kwamba uwezo wao wa kufikiri umepungua sana kiasi kwao hawaoni kitu chenye maslahi kwa umma wao wa Ulaya wanachowaza ni maslahi ya bwana wao Marekani.

Je, hii gas waliona kwamba Russia ndio ilikua inafaidika kuliko wao waliokua wanaendesha viwanda vyao. It is a self suicide for the EU to destroy the Russian Nord Stread pipeline. They shoot themselves in the foot. There is a leadership crisis in western hemisphere which will lead to a self destruction.
 
Yaani US na EU ni vichaa sana, sasa msimu wa baridi kali sana Ulaya unaanza na UK military ndio wamelipua bomba la gesi, wananchi Ulaya wataungua au wengi watakufa kwa baridi kali sana.

Imagine unajiua mwenyewe kwa kulipua bomba la gas sbb bila gas, EU nzima hakuna maisha wala uhai.. Sbb gas huko Ulaya ndio umeme, ndio jiko la kupikia, ndio magari ya kuendesha mengi ni gas, gas Ulaya ndio viwanda, gas ulaya ndio maji, sbb umeme unaleta maji, unaleta AC, unaleta maisha wakati wote Ulaya. Sasa UK army wamelipua kwa makusudi bomba la gas, watakufa watu wengi sana Ulaya msimu wa baridi ukianza.

Gas ya Russia yote kwanza hufika Germany, from there inakuwa distributed to EU countries, sasa hakuna gas, yaani hakuna maisha EU aiseee. Ila Putin kamatia hapo hapo, EU countries watakupigia magoti na usikubali hadi walie wajifunze katika historia wasirudie tena kujifanya wao ndio wababe wa dunia hii. NATO imewaponza.
 
Putin kasema anajiandaa na vita vya muda mrefu kumbe anajua kuwa mziki bado ni SAA 2 usiku alafu inabidi kukesha.... kiuchumi Russia itakuwa hoi bin taaban Hadi kufikia mwakani miezi kama hii
Sijui ulikuwa unafikiria nini wakati unaandika hii!
Kwa sasa Russia ina export bidhaa zaidi kuliko ku- import, fedha yake ina imarika.
 
Sijui ulikuwa unafikiria nini wakati unaandika hii!
Kwa sasa Russia ina export bidhaa zaidi kuliko ku- import, fedha yake ina imarika.
Baelezeee waswahili haoo mafalaa
Supporters of anti-Russia sanctions are some of its biggest customers – NYT

Several Western states have boosted imports from Moscow since February, data cited by the New York Times indicates
 
Russia anaexport bidhaa zake nyingi kwenye nchi gani? na bidhaa zenyewe ni nini

Russia anaexport bidhaa zake nyingi kwenye nchi gani? na bidhaa zenyewe ni nini
Watu kama ninyi mtaamini kile wanachoandika watu wa magharibi tu ndiyo maana sikukuwekea link ya RT News, nakuwekea taarifa toka NYT (New York Times) inayotaja orodha ya bidhaa ulizo uliza. Soma hapo chini

Kama link haijasomeka vizuri angalia kipande hiki "The Belgians have shielded trade in Russian diamonds. The Greeks ship Russian oil unimpeded. France and several other nations still import Russian uranium for nuclear power generation."
 
Yaani US na EU ni vichaa sana, sasa msimu wa baridi kali sana Ulaya unaanza na UK military ndio wamelipua bomba la gesi, wananchi Ulaya wataungua au wengi watakufa kwa baridi kali sana.

Imagine unajiua mwenyewe kwa kulipua bomba la gas sbb bila gas, EU nzima hakuna maisha wala uhai.. Sbb gas huko Ulaya ndio umeme, ndio jiko la kupikia, ndio magari ya kuendesha mengi ni gas, gas Ulaya ndio viwanda, gas ulaya ndio maji, sbb umeme unaleta maji, unaleta AC, unaleta maisha wakati wote Ulaya. Sasa UK army wamelipua kwa makusudi bomba la gas, watakufa watu wengi sana Ulaya msimu wa baridi ukianza.

Gas ya Russia yote kwanza hufika Germany, from there inakuwa distributed to EU countries, sasa hakuna gas, yaani hakuna maisha EU aiseee. Ila Putin kamatia hapo hapo, EU countries watakupigia magoti na usikubali hadi walie wajifunze katika historia wasirudie tena kujifanya wao ndio wababe wa dunia hii. NATO imewaponza.
Huwezi ukafikia hitimisho hilo eti hakuna maisha ulaya bila gesi ya kutoka URUSI?!!Mbona nchi nyingi zimeshapata mbadala japo sio kwa 100%lakini watavuka tu kipindi hicho cha mpito.kwani hata kabla ya kulipuliwa,si alishakuwa amelifunga akidai kuwa vikwazo vya EU,vimepelekea kukosa spea za kutengeneza?!!
 
Putin kasema anajiandaa na vita vya muda mrefu kumbe anajua kuwa mziki bado ni SAA 2 usiku alafu inabidi kukesha.... kiuchumi Russia itakuwa hoi bin taaban Hadi kufikia mwakani miezi kama hii
Hujui
 
Russia anaexport bidhaa zake nyingi kwenye nchi gani? na bidhaa zenyewe ni nini
Kama link ya juu hujaridhika nakuongezea na hii ambayo inahusu goods zinazo ingia Marekani tu.
 
Narudia nchi za magharibi especially viongozi wao wameshikwa na ukichaa , huwezi kujua wanadungw sindano gani au wanawekewa sumu gani kwenye akili zao.,lakin ukweli ni kwamba uwezo wao wa kufikiri umepungua sana kiasi kwao hawaoni kitu chenye maslahi kwa umma wao wa Ulaya wanachowaza ni maslahi ya bwana wao Marekani.

Je, hii gas waliona kwamba Russia ndio ilikua inafaidika kuliko wao waliokua wanaendesha viwanda vyao. It is a self suicide for the EU to destroy the Russian Nord Stread pipeline. They shoot themselves in the foot. There is a leadership crisis in western hemisphere which will lead to a self destruction.

Kiongozi aliye kuwa na busara na kujiamini alikuwa na Angela Merkle tu - Ulaya nzima, kaondoka madarakani ndio maana Ulaya nzima inayumbishwa/pelekwa puta na Merikani.
 
Narudia nchi za magharibi especially viongozi wao wameshikwa na ukichaa , huwezi kujua wanadungw sindano gani au wanawekewa sumu gani kwenye akili zao.,lakin ukweli ni kwamba uwezo wao wa kufikiri umepungua sana kiasi kwao hawaoni kitu chenye maslahi kwa umma wao wa Ulaya wanachowaza ni maslahi ya bwana wao Marekani.

Je, hii gas waliona kwamba Russia ndio ilikua inafaidika kuliko wao waliokua wanaendesha viwanda vyao. It is a self suicide for the EU to destroy the Russian Nord Stread pipeline. They shoot themselves in the foot. There is a leadership crisis in western hemisphere which will lead to a self destruction.
nyiny hao mnasema winter is coming , pia nyiny hao hao mnasema ulaya kuna uhaba wa gesi , piq nyiny hao hao mnadai ulaya walilipua kipande kizima cha bomba la gesi kutoka Urusi ( asiye na shida kwa mujibu wenu ) kwenda kwa Ulaya ( walengwa wa winter ) , sasa inaezekanaj kuwa hawana gesi ila still wanazuia gesi isiwafikie au ndo ukichaa wenu wa kutaka kila baya wabebeshwe magharibi
 
Back
Top Bottom