Mimi ningekuwa karibu na hao Jamaa walioyabutua mabomba ya ges ningewapa Binti yangu Bure kabisa...,wametupunguzia kelele kwa kiasi kikubwa sana..,Lile Bomba lilikuwa linatumika kisiasa tu.., yahani fashisti Putin mwenyewe hiyo ges mara afungulie,mara afunge,yaani Ili mradi kick tu Ili kila mmoja ajue kwamba ulaya wanatumia ges kutoka urusi.., ulikuwa ni ujinga wa Hali ya juu sana
Alafu kama ulaya ndio wafaidika wakuu wa ges ya urusi,nyie pro Russia mnawashwawashwa nini mpaka maanzisha thread humu??..,
Si muwaache wafe tu Kwa baridi?.., maana hiyo itakuwa furaha kwenu.., mnaleta thread humu Ili tuwaonee huruma kwamba mnaonewa au lengo la kuleta thread ni nini hasa??
Pilipili usiyoila yakuwashia nini???
Ukweli ni kwamba kubutuliwa kwa Lile Bomba kumemaliza zile kick za ges..,mara hoo gesi imekuwa hivi..,mara hoo gesi imekuwa vile..,yaani Ili mradi kick tu..., tulieni hivyo hivyo.., ulaya na marekani wameamua wenyewe kuishi bila ges ya urusi kwani Kuna ubaya gani?
Vinginevyo, semeni wazi tu kwamba mnaumia kuona urusi anakuwa sio Tena supplier mkubwa wa ges barani ulaya,hapo mtaeleweka vizuri tu..,sio kuzungukazunguka kama kuku anayetaka kutaga,
Sent from my Infinix X660B using
JamiiForums mobile app